Kwetu sisi Bara, nini hasara ya kutokuwa na Zanzibar?

Sababu za uwepo wa muungano ni too historical kwa sasa. Japo Zanzibar ndio mnufaika mkuu wa Muungano.
Kule kwao ni kupiga soga tu, Uchumii wanao ila wameukalia kitako!
Hata ikiwa wapiga soga WEWE NA FAMILIA YAKO NINI KINAWATESA MNAJIFANYA WAJUWAJI SANA WASHENZI WA KIMATUMBI SOGA TUPIGE SISI KUUMIA UUMIE WW MUHUTU????
 
Wataalamu wa diplomasia na uchumi mtusaidie.

Mm nimezeeka sijawahi kufika Zanzbar na wala sijutii kutokufika kwangu. Na mpaka sasa sijui faida yoyote ya kuwa na Zanzbar.

Tusipokuwa na Zanzbar tutakosa nini ?

Karibuni.
Hakuna hasara zaidi ya faida
 
kitu pekee alichoona mwalimu kwa kipindi kile ni usalama hasa wakoroni tuliowatoa wangeweza kupitia Zanzibar

Na pia alivyokua madarakan mwalimu Zanzibar nilikua kama base ndogo yake katika maswala ya wahanga kupindua nchi

Automatically tuliunda undugu baada ya kuoa bara na visiwani
Apo inakua ngumu, kutengua muungano

Tatizo lipo hapa
Wanzibar wamekua na midomo michafu sana kuaminishwa bara wamekua kama kikwazo kwao katika kuendelea(sijajua nan amewadanganya)
Kitu ambacho wanahitaji wajue hadi hivi sasa ili Zanzibar uhai uendelee wanaihitaji bara zaidi ya wana bara wenyewe

Mkuu acha kujidhalilisha, Unaongea Pumba. Wakoloni gani tuliowatoa? hivi hao Waingereza wangeamua kurudi mungeweza kuwazuia? Nafikiri hujawahi sikia kama Nyerere alipotaka kupinduliwa alienda kuwaomba haohao wakoloni wakaja kumuokoa.
 
Ndani ya somali kuna nchi inaitwa Somaliland na maisha yanaenda kama kawa, kuna Sudan na south Sudan maisha yanaenda kama kawaida kama kutwangana ni wao kwa wao, Waziri mkuu wa Ethiopia ni juzi tu alitembelea Eritrea (angalia mipaka ya inchi hizi) kwa nini isiwe Tanganyika na Zanzibar? kwa nini linapokuja suala la kuipa Zanzibar uhuru wake msemaji anakuwa hatarini? Masheikh wamewekwa korokoroni miaka kadhaa sasa kwa kuyaongela haya haya tu.
 
Wataalamu wa diplomasia na uchumi mtusaidie.

Mm nimezeeka sijawahi kufika Zanzbar na wala sijutii kutokufika kwangu. Na mpaka sasa sijui faida yoyote ya kuwa na Zanzbar.

Tusipokuwa na Zanzbar tutakosa nini ?

Karibuni.
Tatizo kuna Wabara wanaoutaka muungano bila Tanganyika, halafu kuna Wazanzibari wanaoitaka Tanganyika bila muungano!
Hii inaitwa "pasua kichwa" kama ya mbuni.
 
Wataalamu wa diplomasia na uchumi mtusaidie.

Mm nimezeeka sijawahi kufika Zanzbar na wala sijutii kutokufika kwangu. Na mpaka sasa sijui faida yoyote ya kuwa na Zanzbar.

Tusipokuwa na Zanzbar tutakosa nini ?

Karibuni.
Tena tukiwa bila Zanzibar tutaendelea sana maana muda mwingi tutautumia kupanga na kuendeleza mipango ya maendeleo badala ya vikao vya mambo ya muungano
 
Tutapungikiwa na Jina Tanzania maaana sie ni Tanganyika. Sasa kwa taarifa yako hilo Jina Tanganyika halipendeki na linaogopwa kama ukoma. Ndukiiiii
Nina Tanganyika tukilipenda sisi basi inatosha wengine duniani watalazimika kulipenda hawatakuwa na namna.
 
Wataalamu wa diplomasia na uchumi mtusaidie.

Mm nimezeeka sijawahi kufika Zanzbar na wala sijutii kutokufika kwangu. Na mpaka sasa sijui faida yoyote ya kuwa na Zanzbar.

Tusipokuwa na Zanzbar tutakosa nini ?

Karibuni.
Hamna hasara yoyote. Sisi siyo bara, sisi ni Tanganyika.
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom