mtz one
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 4,272
- 1,210
naomba penzi lako mamito nimepagawa walahiMbona madogo hata yana nafuu!
naomba penzi lako mamito nimepagawa walahiMbona madogo hata yana nafuu!
Umekosea njia papito!!!mziki huu huuwezi!!!!Halafu una utani na mungu wewe ehhh!!!naomba penzi lako mamito nimepagawa walahi
mi nakuzimia walahi nipe penziMbona madogo hata yana nafuu!
Kwa heri.....mi nakuzimia walahi nipe penzi
utani gani na mungu sijakosea njia ndo mana nikafika kwako wanakosea hupotea nitauweza tu wembamba wa reli huu treni zinapitaUmekosea njia papito!!!mziki huu huuwezi!!!!Halafu una utani na mungu wewe ehhh!!!
unaenda wapi jaman hatujamalizana??Kwa heri.....
Kwanini unaapia kwa vitu vya kipuuzi!utani gani na mungu sijakosea njia ndo mana nikafika kwako wanakosea hupotea nitauweza tu wembamba wa reli huu treni zinapita
upuuzi kukupenda??? nipe nafasi nataka uwe mke wangu wa jfKwanini unaapia kwa vitu vya kipuuzi!
we kyasaka tu..ngoja wachaga orijino waje...
Shi-mboni sha-foooo
so baby haujanikubalia mwenzio nakupendaMbona madogo hata yana nafuu!
nenda kacheze na watoto wenzako!upuuzi kukupenda??? nipe nafasi nataka uwe mke wangu wa jf
nani kakwambia mimi mtoto mpenzi?nenda kacheze na watoto wenzako!
Shi-mboni sha-foooo
Mtu mzima kama mimi haambiwi kila kitu nimeshakusoma....nani kakwambia mimi mtoto mpenzi?
he shosti nimekukosea nini mbn maneno makali hivyo nisamehewe nawe kwa kushobokea utaangukia pua!