Kwetu Pazuri

Dumelang

JF-Expert Member
Aug 11, 2011
3,194
5,598
Jamani wale waimbaji wa Rwanda walioimba kwetu pazuri, wametoa New Album yao Vol 4, baada ya Ajali waliyoipata pale Kahama
Pia habari za kuaminika ni kuwa watakuwa Dar mwezi wa kumi na mbili kuzindua album yao hiyo ikiwa kwa Lugha ya kiswahili..

Mwenye uwezo wa kutasfri nyimbo hizo kwa kiswahili anatafutwa kwani mtafsri wao alifariki kwenye ile ajali.
 
Wajitahidi kuwa na nyimbo nzuri zaidi, maana hiyo kwetu pazuri nyimbo ya kwanza na ya pili ndo nzuri, the rest ''kawaida sana''. Ila dada muimbaji wa wimbo wa Kwetu pazuri ni mrembo, bahati nzuri kaolewa Agust 2011.
 
Wakalimani utawapata humu humu. Humu 2na wa2 mpaka wa kuandika lugha ya KISANDAWE acha Kirwanda rahisi kihivyo. We wasubirie kidogo wengine watoke church.
 
jamani wale waimbaji wa Rwanda walioimba kwetu pazuri, wametoa New Album yao Vol 4, baada ya Ajali waliyoipata pale Kahama
Pia habari za kuaminika ni kuwa watakuwa Dar mwezi wa kumi na mbili kuzindua album yao hiyo ikiwa kwa Lugha ya kiswahili..Mwenye uwezo wa kutasfri nyimbo hizo kwa kiswahili anatafutwa kwani mtafsri wao alifariki kwenye ile ajali.

Waimbaji hawa nawakubali sana,kuna mtu ndio profession yake.nawaunganishaje naye mkubwa!!!
 
Aisee,nimejipatia copy yangu tayari,japo wanaimba kinyarwanda,kuna subtitles za kiingereza,i like it japo inasikitisha.
 
Ila dada muimbaji wa wimbo wa Kwetu pazuri ni mrembo, bahati nzuri kaolewa Agust 2011.

Duh! Yule binti kaolewa!? Nilimpenda sana huyu binti na nilikuwa nipo tayari kumpeleka kwa wazazi. Anyway, nilipenda ila jamaa amempenda zaidi!
Ningempeleka home angefurahi maana "kwetu pazuri"
 
Leo hii nimejipatia pia copy ya Vol.4.,yenye nyimbo 10.
Ni nzuri sana.
Hawa wanyarwanda kwa kweli nimewapenda sana, wana sauti zilizoenda shule!
amba2.jpg
 
Du.kwetu ni pazuri zaidi ya kwao,ila wamenikumbusha mbali sana kwani 98 nilikuwa na demu wa kinyarwanda sampuli hizohizo.wanazinguaga mbaya haswa ukiwaka huoni m2.
 
Three members of this choir died in Tanzania.&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
They are seen in pictures down here!&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;a href=&amp;quot;http://vovtz.files.wordpress.com/2011/08/263635_115052661922845_100002543358166_116823_7903261_n.jpg&amp;quot; target=&amp;quot;_blank&amp;quot;&amp;gt;&amp;lt;img src=&amp;quot;http://vovtz.files.wordpress.com/2011/08/263635_115052661922845_100002543358166_116823_7903261_n.jpg?w=405&amp;amp;amp;h=720&amp;quot; border=&amp;quot;0&amp;quot; alt=&amp;quot;&amp;quot; /&amp;gt;&amp;lt;/a&amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;a href=&amp;quot;http://vovtz.files.wordpress.com/2011/08/264891_115053135256131_100002543358166_116824_6878507_n.jpg&amp;quot; target=&amp;quot;_blank&amp;quot;&amp;gt;&amp;lt;img src=&amp;quot;http://vovtz.files.wordpress.com/2011/08/264891_115053135256131_100002543358166_116824_6878507_n.jpg?w=497&amp;amp;amp;h=279&amp;quot; border=&amp;quot;0&amp;quot; alt=&amp;quot;&amp;quot; /&amp;gt;&amp;lt;/a&amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;a href=&amp;quot;http://vovtz.files.wordpress.com/2011/08/filbert-manzi.png&amp;quot; target=&amp;quot;_blank&amp;quot;&amp;gt;&amp;lt;img src=&amp;quot;http://vovtz.files.wordpress.com/2011/08/filbert-manzi.png?w=497&amp;amp;amp;h=372&amp;quot; border=&amp;quot;0&amp;quot; alt=&amp;quot;&amp;quot; /&amp;gt;&amp;lt;/a&amp;gt;
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
PJ! Nami nitapataje copy hiyo?
 
Pich kuna muungwana hapa down kesha weka, source was Aadventists Radio Called Morning Stara
 
Wajitahidi kuwa na nyimbo nzuri zaidi, maana hiyo kwetu pazuri nyimbo ya kwanza na ya pili ndo nzuri, the rest ''kawaida sana''. Ila dada muimbaji wa wimbo wa Kwetu pazuri ni mrembo, bahati nzuri kaolewa Agust 2011.

hongera kwa dada huyo na Mola amnyeshe mibaraka yeye na mumewe.nilikuwa na hofu kuwa labda alipata majiraha mengi na bado yuko hospitalini kutokana na ajali ile ama yuko mzima kwa vile sijamwona kwenye kanda hii mpya?
 
mkuu Paka Jimmy umefanya jambo la msingi sana kuweka picha
nilikuwa siwaelewi kwa sura waliokufa ni akina nani.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom