Kamanda Francis
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 834
- 140
Mimi ni Mkazi wa BUTIAMA Wilaya ya Musoma Vijijini naitwa PAUL MANZAKI, naomba Kuuliza Swali ila Wahusika Msiliondoe Swali langu. SWALI: Mbunge Wangu wa Jimbo la Musoma Vijijini (CCM) MH. NIMRODI MKONO Mnamwona huko Bungeni Dodoma au Kwenye TV zenu huko Mijini?... au Amefukuzwa Ubunge au Yupo Nje ya Nchi au Alifariki bila ya Wana-Musoma Kujulishwa?... Naomba Kujulishwa Japo Kifurushi changu (MB) Kimekwisha, ntaazima Laini ya Mjomba Kujua Majibu yenu Coz huku TV tunaziona Nyakati za Mazishi na Nyerere Day Ingawa mara nyingi huwa ni Cinema...