mrmbao
Member
- Sep 14, 2013
- 11
- 11
Mimi nilitumia mafuta ya 70,000/= kutoka uyole mpaka dom kwenye IST Lita ilikuwa 2300.Kwa uzoefu wangu WA safari ndefu kwanza angalia Tairi zako Kama zimexpire au kuisha, upepo stahiki kwenye Tairi.
2.ball joint, tire road end Kama zipo vizuri.
3. reckend na hyrolic Kama zipo vizuri.
4.kagua rejeta na coolant hakikisha iko sawa.
5.AC ikague inasaidia Sana mvua inaponyesha kuondoa ukungu kwa kioo, pia hufanya usichoke unapokuwa njiani.
6. Fuata Sheria na Alama au ishara za barabarani pia nenda kwa tahadhari (usiamini gari lililo Mbele yako au nyuma yako hata unalopishana nalo)
7.epuka kuendesha speed kubwa ukiwa umefungulia Mziki
8 Mtangulize Mwenyezi Mungu