Kwenye Upande wa matengenezo: Nini cha kuzingatia kabla na ukiwa kwenye safari ndefu

Kwa uzoefu wangu WA safari ndefu kwanza angalia Tairi zako Kama zimexpire au kuisha, upepo stahiki kwenye Tairi.
2.ball joint, tire road end Kama zipo vizuri.
3. reckend na hyrolic Kama zipo vizuri.
4.kagua rejeta na coolant hakikisha iko sawa.
5.AC ikague inasaidia Sana mvua inaponyesha kuondoa ukungu kwa kioo, pia hufanya usichoke unapokuwa njiani.
6. Fuata Sheria na Alama au ishara za barabarani pia nenda kwa tahadhari (usiamini gari lililo Mbele yako au nyuma yako hata unalopishana nalo)
7.epuka kuendesha speed kubwa ukiwa umefungulia Mziki
8 Mtangulize Mwenyezi Mungu
Mimi nilitumia mafuta ya 70,000/= kutoka uyole mpaka dom kwenye IST Lita ilikuwa 2300.
 
Kwa uzoefu wangu WA safari ndefu kwanza angalia Tairi zako Kama zimexpire au kuisha, upepo stahiki kwenye Tairi.
2.ball joint, tire road end Kama zipo vizuri.
3. reckend na hyrolic Kama zipo vizuri.
4.kagua rejeta na coolant hakikisha iko sawa.
5.AC ikague inasaidia Sana mvua inaponyesha kuondoa ukungu kwa kioo, pia hufanya usichoke unapokuwa njiani.
6. Fuata Sheria na Alama au ishara za barabarani pia nenda kwa tahadhari (usiamini gari lililo Mbele yako au nyuma yako hata unalopishana nalo)
7.epuka kuendesha speed kubwa ukiwa umefungulia Mziki
8 Mtangulize Mwenyezi Mungu
Amina mkuu nashukuru sana
 
Okay pamoja sana mkuu
Vipi Mkuu ulishafika? na Gari bado unayo au umeiuza HUJATUPA MREJESHO
katika vitu vyote Carina TI zinatumia engine ya 5A FE cc1498 injection, na ndani huwepo Timing Belt angali km Mileage imefika 100,000 badili jamaa yangu km unapenda safari ndefu, km unaweza unaweza kuwa nayo akiba unaificha kwenye boot. huwa ikikatika ni lazima ufungue cover na km porini ni lazima ivutwe au umuite mtaalam, Belt zote ni muhimu ya Altenator, stealing power. maji na hiyo ya ndani
Mimi ilishawahi kunikatikia Kiyegeya baada ya Gairo na miaka mingine Mdaula
 
Vipi Mkuu ulishafika? na Gari bado unayo au umeiuza HUJATUPA MREJESHO
katika vitu vyote Carina TI zinatumia engine ya 5A FE cc1498 injection, na ndani huwepo Timing Belt angali km Mileage imefika 100,000 badili jamaa yangu km unapenda safari ndefu, km unaweza unaweza kuwa nayo akiba unaificha kwenye boot. huwa ikikatika ni lazima ufungue cover na km porini ni lazima ivutwe au umuite mtaalam, Belt zote ni muhimu ya Altenator, stealing power. maji na hiyo ya ndani
Mimi ilishawahi kunikatikia Kiyegeya baada ya Gairo na miaka mingine Mdaula

5A-FE ni non-interference engine sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
5A-FE ni non-interference engine sio?
Ni kweli Mkuu sikupata damage ya aina yoyote ilikuwa ni kubadili tu Belt na huwa natembea nayo ya akiba
What is a non interference engine in a Toyota?
An interference engine is one that has insufficient clearance between the valves and pistons if the cam stops turning due to a broken timing belt. The result is usually catastrophic engine failure. Not so with a non-interference engine. It pays to know.
kwa faida ya wengine
 
Back
Top Bottom