Thelionden
Senior Member
- Apr 7, 2018
- 165
- 156
Wakuu habari za majukumu huko mlipo.
Kama ilivyo kawaida kupeana elimu juu ya vyombo mbalimbali vya usafiri hapa JF na kweli na kiri kujifunza mambo mengi sana hapa JF.
Sasa wakuu miezi kadhaa iliyopita nilijipatia
Kagari kangu aina ya Carina TI kako kwenye hari ya kuridhisha, nataka nisafiri nako kutoka Mbeya hadi Musoma japo sio mzoefu wa safari ndefu
Naomba ushauri wenu nini cha kuzingatia katika service ya gari kabla sijaanza safari hiyo na nini cha kuzingatia wakati wa safari na wazoefu wa gari aina hii ya carina je inahimili safari ndefu kama hii.
Natanguliza shukrani zangu.
Kama ilivyo kawaida kupeana elimu juu ya vyombo mbalimbali vya usafiri hapa JF na kweli na kiri kujifunza mambo mengi sana hapa JF.
Sasa wakuu miezi kadhaa iliyopita nilijipatia
Kagari kangu aina ya Carina TI kako kwenye hari ya kuridhisha, nataka nisafiri nako kutoka Mbeya hadi Musoma japo sio mzoefu wa safari ndefu
Naomba ushauri wenu nini cha kuzingatia katika service ya gari kabla sijaanza safari hiyo na nini cha kuzingatia wakati wa safari na wazoefu wa gari aina hii ya carina je inahimili safari ndefu kama hii.
Natanguliza shukrani zangu.