ifweero
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 7,957
- 1,327
MBOWE CCM HAINUNUI WATU
HUWA INASAIDIA KILA MTU
USHUHUDA.
wakati wa Uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 ndugu mbowe alikuwa anagombea URAIS kwa tiketi ya CHADEMA, akipambana na KIKWETE, LIPUMBA na wengineo.
mwanamkakati mkuu wa KAMPENI ZA KIKWETE alikuwa ni ROSTAM AZIZ - aliyekuwa mbunge wa IGUNGA.
mwezi OKTOBA mwaka 2005 FREEMAN MBOWE, kupitia kwa mke wake LILIAN MTEI MBOWE alipokea jumla ya shilingi million 100. ili zimsaidie kwenye kampeni kipindi hicho LIPUMBA NA CUF ndio walikuwa na nguvu kubwa sana ya kisiasa ya upinzani, SWALI JE.
(i) Je hizi milioni 100 za ROSTAM AZIZ KWA mbowe HAZIKUWA hongo kuiwezesha CHADEMA kuidhoofisha CUF na LIPUMBA?.
(ii) Je ROSTAM AZIZ sio mwanaCCM kiasi cha kufanya pesa zake zisiwe HONGO?.
(iii) JE MBOWE NA ROSTAM AZIZ wana urafiki ama ubia wa namna gani kiasi cha kufanya mwanamkakati wa kampeni za mgombea Urais wa CCM Jakaya Kikwete Kutoa milioni 100 kwa mgombea wa CHADEMA.
(iv) JE ni kweli MBOWE haongeki kama alivyodai ama ni danganya toto tu?.
kwa kuwa ninafahamu vitu na mambo mengi ndani ya hiki chama, nitaendelea kuweka kumbukumbu sawa kila patakapokuwa pana uhitaji wa kufanya hivyo bila woga wala kificho chochote.
HUWA INASAIDIA KILA MTU
USHUHUDA.
wakati wa Uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 ndugu mbowe alikuwa anagombea URAIS kwa tiketi ya CHADEMA, akipambana na KIKWETE, LIPUMBA na wengineo.
mwanamkakati mkuu wa KAMPENI ZA KIKWETE alikuwa ni ROSTAM AZIZ - aliyekuwa mbunge wa IGUNGA.
mwezi OKTOBA mwaka 2005 FREEMAN MBOWE, kupitia kwa mke wake LILIAN MTEI MBOWE alipokea jumla ya shilingi million 100. ili zimsaidie kwenye kampeni kipindi hicho LIPUMBA NA CUF ndio walikuwa na nguvu kubwa sana ya kisiasa ya upinzani, SWALI JE.
(i) Je hizi milioni 100 za ROSTAM AZIZ KWA mbowe HAZIKUWA hongo kuiwezesha CHADEMA kuidhoofisha CUF na LIPUMBA?.
(ii) Je ROSTAM AZIZ sio mwanaCCM kiasi cha kufanya pesa zake zisiwe HONGO?.
(iii) JE MBOWE NA ROSTAM AZIZ wana urafiki ama ubia wa namna gani kiasi cha kufanya mwanamkakati wa kampeni za mgombea Urais wa CCM Jakaya Kikwete Kutoa milioni 100 kwa mgombea wa CHADEMA.
(iv) JE ni kweli MBOWE haongeki kama alivyodai ama ni danganya toto tu?.
kwa kuwa ninafahamu vitu na mambo mengi ndani ya hiki chama, nitaendelea kuweka kumbukumbu sawa kila patakapokuwa pana uhitaji wa kufanya hivyo bila woga wala kificho chochote.