Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
kwenye taarifa ya Ikulu kasema wameiba mafuta, halafu baadae mbele ya waandishi anakuja kusema "tusiwahukumu..."
Tumueleweje ??
Rais kigeugeu,mwongo,mnafiki na wa ajabu! Yaleyale ya kuagiza kuvunja nyumba za KIMARA huku akizuia za MWANZA zisivunjwe…!