Kwenye suala la Wamachinga, Rais Samia umevunja ahadi na umewasaliti Wamachinga

Mheshimiwa rais,

Unabeba lawama za moja kwa dhulma na manyanyaso na uonevu waliofanyiwa na wanaoendelea kufanyiwa wamachinga katika zoezi hili onevu na kandamizi linaloendelea nchini dhidi yao nitaeleza.

1. Serikali yenu wewe na Hayati Magufuli mliwatengenezea wamachinga utaratibu wa sasa
Mheshimuwa rais, huwezi kujifanya hujui suala la wamachinga toka mwaka 2015 mlipochaguliwa wewe na hayati Magufuli kuingia madarakani, unajua mlichukua hatua gani katika suala hili la wamachinga, na upo ushahidi wa video Mheshimiwa Hayati Magufuli akitoa maagizo kwako na Mheshimuwa Jaffo kutowaondoa wamachinga mpaka muwe mmewapatia maeneo mengine ya biashara. Na katika video hiyo, umesikika ukikubaliana na raisi Magufuli ukisema kuwa "hizo ndo ajira zenyewe hizo"

Sasa mheshimiwa rais naomba kukuuliza maswali yafuatayo:

a) Kipi ulichokubaliana na rais Magufuli wakati huo ukiwa makamu wake ambacho leo unadhani wakati huo mlikosea?
b) Je, hayo mazingira mazuri na mbadala ya wamachinga kufanya shughuli zao wewe kama raisi umejiridhisha kuwa mamlaka za chini zimeyaandaa?

2. Mheshimiwa rais kumbuka mlitunga sheria ya wamachinga kulipa 20000 kwa mwaka ili wafanye biashara zao wasibughudhiwe
Je, mheshimiwa rais, hii sheria mmeifuta lini?, na je mtawarudishia lini pesa zao?

3. Mheshimiwa rais, umevunja ahadi ya kampeni iliyowapeni kura
Mheshimiwa rais, ahadi ya muungwana anapoahidi jambo hutekeleza. Wewe na rais Magufuli mlizunguuka sehemu kubwa ya nchi hii kuomba kura, na mliwaahidi wamachinga kutowabughudi, na mkasema wakilipa elfu ishirini zao watafanya biashara zao bila kubughudhiwa. Leo hii Wamachinga sehemu zao zinavamiwa usiku, watu wsnavunja mali zao, nyingine zinachukuliwa, Hii mheshimiwa rais unaiona ni sawasawa?

Unaona ni sawasawa uonevu mkubwa kabisa na dhulma kubwa wanayofanyiwa hawa wananchi wa Jsmhuri ya Muungano wa Tanzania?. Ukweli wa ahadi yenu wa kampeni uko wapi? Tuseme basi mmeamua bila soni kuvunja ahadi yenu ya kampeni. Je, mmeshindwa kulifanya hili zoezi kwa uso wa utu?

4. Hili zoezi linawatia wananchi umasikini zaidi na linatweza utu wao
Hawa wamachinga ni watu wanaopata ajira zao halali kwa kujituma, ni watu wanaolisha familia zao kwa kazi hizihizi ambazo baadhi ya watu wanaziita "kuchafua miji", kwa nini angalau tusiheshimu hilo?

Mheshimiwa rais wewe unajua shida ya ajira katika nchi hii, leo hii hili jeshi la vijana lisilo na ajira utalipeleka wapi kama hata jitihada zao za kujitafutia riziki badala ya kuzipangia utaratibu mzuri sisi tunaona tufukuzefukuze, tubomoebomoe tu, Tunaipeleka nchi wapi kwa aina ya maamuzi kama haya?

5. Mheshimiwa rais, lawama zote zinakushukia wewe, THE BUCK STOPS WITH YOU
Mheshimiwa rais, hili zogo, unyanyasaji na uendeshaji wa zoezi lisilozingatia utu, lawama zibakuangia wewe mhedhimiwa rais. Ulikuwa na nguvu za kimaamuzi na kibajeti za kuamuru hili zoezi lizingatie haki zotw za binadamu na sheria na taratibu na busara lakini unawaacha wasaidizi wako wafanye uharibifu wa mali wa hawa wananchi wa kipato cha chini. Mheshimiwa Rais Tunataka uzuie zoezi hili mara moja mpaka utaratibu mzuri uwekwe! Leo hii wanaamka watu wanavunja msli za wananchi usiku wa manane, na wewe ndiye rais unaawacha wafanye udhalimu huu maana yake nini?

6. Mheshimiwa rais, kukitokea uvunjifu wa amani, sababu ya zoezi hili wewe na chama chako cha Mapinduzi mtabeba lawama zote
Hawa wanachinga mliwageuza mtaji wa kura, mkawaahidi ahadi ambayo leo hii mnawageuka, sasa kama kukitokea uvunjifu wa amani kwa nini wewe na CCM msibebe lawama.

Mheshimiwa rais huwezi kujitoa, na kujitenga na maamuzi ya rais Magufuli katika hili suala, wewe ulikuwa ni. msaidizi wake mkuu na mgombea mwenza. Kura za Magufuli ni kura zako, Ahadi za Magufuli ni zako. Ile ilikuwa ni serikali yenu, huwezi kukwepa hili. Tueleze sisi wananchi leo kunani unakwenda nyuzi 180 tofauti katika hili suala?

7. Mheshimiwa rais, pamoja na sheria lakini nchi hii inapaswa iongozwe kwa Busara, hekima, mila nzuri na tamaduni nzuri za Mtanzania
Watanzania tulishakataa masuala ya ukandamizaji wa wananchi, Watanzania tulishasema kuwa sheria ni zetu lakini sisi hatumilikiwi na sheria hususan linapokuja suala la masilahi mapana ya wananchi. Ndiyo masna kwa mujibu wa sheria za usafiri kusimamisha watu kwenye vyombo vya usafiri vya umma haikubaliki, lakini mazingira yetu ya hali halisi yanapelekea hivyo. Ni kinyume cha sheria ndiyo lakini tunafumba macho. Sasa leo hii linapokuja suala kuhusu kula na Shibe ya watu, tunakwenda tu kutumia miguvu bila kujali social economic situation ya watu wetu?

Na kama mnasema eti mnadimamia sheria, kwani sheria ngapi mnazivunja kila siku?, Vifungu vingapi mnavivunja kila siku? —Leo hii mnavizuia vyama vya siada kufanya shughuli zao halali za kisiasa kinyume cha sheria na katiba lakini sijawahi kuona mkijutia leo, sasa eti ndo mje mtwambie kuwa mko serious na sheria za mipango miji linapokuja suala la wamachinga, Hizo sheria nyingine je mnataka kutwambia kuwa hamzioni?

Mheshimwa rais onyesha Leadership katika hili suala la wamachinga yanayoendelea nchini si sawa na hayakubaliki!

Tazama hii video usikie jinsi zoezi hili linavyoendeshwa kinyama

View attachment 1991704
Hili zoezi ni kipimo tosha kwamba sera zetu hazina tija, nizile zinazo badilika badilika(uncertainity policies). CCM hawana mfumo wezeshi wa kufanya biashara kisheria ,kwakinyakyusa tunasema :Business enabling environment (BEE) which will follow regurations and rules of the state
 
Yaani wewe unaona fahari ya majengo ya mji kuliko shibe ya watu?

Hivi nyie watu mna utu kweli?
Mkuu hawana na hawajawahi kuwa na utu hata siku moja hawa ndio katili kuliko kiongozi yeyote aliyewahi kuwepo kwa taifa la Tanzania na mkoa wa Dar es salaam.

Kulikuwa na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam hapo zamani ajulikanaye Mustafa Nyang'anyi alitesa sana wananchi wenye itikadi tofauti na mawazo ya kijamaa, but he is no longer sitting at the helm!!!
 
Hili zoezi ni kipimo tosha kwamba sera zetu hazina tija, nizile zinazo badilika badilika(uncertainity policies). CCM hawana mfumo wezeshi wa kufanya biashara kisheria ,kwakinyakyusa tunasema :Business enabling environment (BEE) which will follw regurations and rules of the state
I fully concur with you Benny Haraba, you nailed on the fresh wound!!!!
 
Nimepita relini kuna mama amenambia na TRC wametoa Notes wanaofanya biashara za pembezoni hasa kina mama ntilie wasepeeeeeee,Ukiangalia huyo mama ntilie alipo labda kama reli wanajenga Barabara sita za treni hivi karibuni
 
Zoezi linaenda vizuri na miji yetu tunayoijenga kwa gharama kubwa inaenda kuonesha value for money

Hakuna machinga aliyekatazwa kufanya biashara! Ni wewe ndo ubadili akili yako kwa kujifunza kwenda sokoni kununua bidhaa!

Lazima kila kitu kiende kwa utaratibu! Sisi sio wanyama ni binadamu
Mheshimiwa rais,

Unabeba lawama za moja kwa dhulma na manyanyaso na uonevu waliofanyiwa na wanaoendelea kufanyiwa wamachinga katika zoezi hili onevu na kandamizi linaloendelea nchini dhidi yao nitaeleza.

1. Serikali yenu wewe na Hayati Magufuli mliwatengenezea wamachinga utaratibu wa sasa
Mheshimuwa rais, huwezi kujifanya hujui suala la wamachinga toka mwaka 2015 mlipochaguliwa wewe na hayati Magufuli kuingia madarakani, unajua mlichukua hatua gani katika suala hili la wamachinga, na upo ushahidi wa video Mheshimiwa Hayati Magufuli akitoa maagizo kwako na Mheshimuwa Jaffo kutowaondoa wamachinga mpaka muwe mmewapatia maeneo mengine ya biashara. Na katika video hiyo, umesikika ukikubaliana na raisi Magufuli ukisema kuwa "hizo ndo ajira zenyewe hizo"

Sasa mheshimiwa rais naomba kukuuliza maswali yafuatayo:

a) Kipi ulichokubaliana na rais Magufuli wakati huo ukiwa makamu wake ambacho leo unadhani wakati huo mlikosea?
b) Je, hayo mazingira mazuri na mbadala ya wamachinga kufanya shughuli zao wewe kama raisi umejiridhisha kuwa mamlaka za chini zimeyaandaa?

2. Mheshimiwa rais kumbuka mlitunga sheria ya wamachinga kulipa 20000 kwa mwaka ili wafanye biashara zao wasibughudhiwe
Je, mheshimiwa rais, hii sheria mmeifuta lini?, na je mtawarudishia lini pesa zao?

3. Mheshimiwa rais, umevunja ahadi ya kampeni iliyowapeni kura
Mheshimiwa rais, ahadi ya muungwana anapoahidi jambo hutekeleza. Wewe na rais Magufuli mlizunguuka sehemu kubwa ya nchi hii kuomba kura, na mliwaahidi wamachinga kutowabughudi, na mkasema wakilipa elfu ishirini zao watafanya biashara zao bila kubughudhiwa. Leo hii Wamachinga sehemu zao zinavamiwa usiku, watu wsnavunja mali zao, nyingine zinachukuliwa, Hii mheshimiwa rais unaiona ni sawasawa?

Unaona ni sawasawa uonevu mkubwa kabisa na dhulma kubwa wanayofanyiwa hawa wananchi wa Jsmhuri ya Muungano wa Tanzania?. Ukweli wa ahadi yenu wa kampeni uko wapi? Tuseme basi mmeamua bila soni kuvunja ahadi yenu ya kampeni. Je, mmeshindwa kulifanya hili zoezi kwa uso wa utu?

4. Hili zoezi linawatia wananchi umasikini zaidi na linatweza utu wao
Hawa wamachinga ni watu wanaopata ajira zao halali kwa kujituma, ni watu wanaolisha familia zao kwa kazi hizihizi ambazo baadhi ya watu wanaziita "kuchafua miji", kwa nini angalau tusiheshimu hilo?

Mheshimiwa rais wewe unajua shida ya ajira katika nchi hii, leo hii hili jeshi la vijana lisilo na ajira utalipeleka wapi kama hata jitihada zao za kujitafutia riziki badala ya kuzipangia utaratibu mzuri sisi tunaona tufukuzefukuze, tubomoebomoe tu, Tunaipeleka nchi wapi kwa aina ya maamuzi kama haya?

5. Mheshimiwa rais, lawama zote zinakushukia wewe, THE BUCK STOPS WITH YOU
Mheshimiwa rais, hili zogo, unyanyasaji na uendeshaji wa zoezi lisilozingatia utu, lawama zibakuangia wewe mhedhimiwa rais. Ulikuwa na nguvu za kimaamuzi na kibajeti za kuamuru hili zoezi lizingatie haki zotw za binadamu na sheria na taratibu na busara lakini unawaacha wasaidizi wako wafanye uharibifu wa mali wa hawa wananchi wa kipato cha chini. Mheshimiwa Rais Tunataka uzuie zoezi hili mara moja mpaka utaratibu mzuri uwekwe! Leo hii wanaamka watu wanavunja msli za wananchi usiku wa manane, na wewe ndiye rais unaawacha wafanye udhalimu huu maana yake nini?

6. Mheshimiwa rais, kukitokea uvunjifu wa amani, sababu ya zoezi hili wewe na chama chako cha Mapinduzi mtabeba lawama zote
Hawa wanachinga mliwageuza mtaji wa kura, mkawaahidi ahadi ambayo leo hii mnawageuka, sasa kama kukitokea uvunjifu wa amani kwa nini wewe na CCM msibebe lawama.

Mheshimiwa rais huwezi kujitoa, na kujitenga na maamuzi ya rais Magufuli katika hili suala, wewe ulikuwa ni. msaidizi wake mkuu na mgombea mwenza. Kura za Magufuli ni kura zako, Ahadi za Magufuli ni zako. Ile ilikuwa ni serikali yenu, huwezi kukwepa hili. Tueleze sisi wananchi leo kunani unakwenda nyuzi 180 tofauti katika hili suala?

7. Mheshimiwa rais, pamoja na sheria lakini nchi hii inapaswa iongozwe kwa Busara, hekima, mila nzuri na tamaduni nzuri za Mtanzania
Watanzania tulishakataa masuala ya ukandamizaji wa wananchi, Watanzania tulishasema kuwa sheria ni zetu lakini sisi hatumilikiwi na sheria hususan linapokuja suala la masilahi mapana ya wananchi. Ndiyo masna kwa mujibu wa sheria za usafiri kusimamisha watu kwenye vyombo vya usafiri vya umma haikubaliki, lakini mazingira yetu ya hali halisi yanapelekea hivyo. Ni kinyume cha sheria ndiyo lakini tunafumba macho. Sasa leo hii linapokuja suala kuhusu kula na Shibe ya watu, tunakwenda tu kutumia miguvu bila kujali social economic situation ya watu wetu?

Na kama mnasema eti mnadimamia sheria, kwani sheria ngapi mnazivunja kila siku?, Vifungu vingapi mnavivunja kila siku? —Leo hii mnavizuia vyama vya siada kufanya shughuli zao halali za kisiasa kinyume cha sheria na katiba lakini sijawahi kuona mkijutia leo, sasa eti ndo mje mtwambie kuwa mko serious na sheria za mipango miji linapokuja suala la wamachinga, Hizo sheria nyingine je mnataka kutwambia kuwa hamzioni?

Mheshimwa rais onyesha Leadership katika hili suala la wamachinga yanayoendelea nchini si sawa na hayakubaliki!

Tazama hii video usikie jinsi zoezi hili linavyoendeshwa kinyama

View attachment 1991704
 
Maadamu matajiri wamemuhakikishia atakuwa Rais milele hawa machinga na bodaboda ni takataka.
 
Nimepita relini kuna mama amenambia na TRC wametoa Notes wanaofanya biashara za pembezoni hasa kina mama ntilie wasepeeeeeee,Ukiangalia huyo mama ntilie alipo labda kama reli wanajenga Barabara sita za treni hivi karibuni
Yaani kuna ukatili na roho mbaya ajabu katika nchi hii.
Labda huu ndo utakuwa mwanzo wa Watanzania waliolala kuamka, maana ugali wao sasa unamwagiwa mchanga
 
Maadamu matajiri wamemuhakikishia atakuwa Rais milele hawa machinga na bodaboda ni takataka.
Na hili ni tatizo.
Naona akina Majaliwa wanakazana kusema yeye ndo raisi hadi mwaka 2030.

Hawana hofu tena ya wananchi maana watafanya magumashi yao tu wanayoyajua kwenye chaguzi
 
Mheshimiwa rais,

Unabeba lawama za moja kwa dhulma na manyanyaso na uonevu waliofanyiwa na wanaoendelea kufanyiwa wamachinga katika zoezi hili onevu na kandamizi linaloendelea nchini dhidi yao nitaeleza.

1. Serikali yenu wewe na Hayati Magufuli mliwatengenezea wamachinga utaratibu wa sasa
Mheshimuwa rais, huwezi kujifanya hujui suala la wamachinga toka mwaka 2015 mlipochaguliwa wewe na hayati Magufuli kuingia madarakani, unajua mlichukua hatua gani katika suala hili la wamachinga, na upo ushahidi wa video Mheshimiwa Hayati Magufuli akitoa maagizo kwako na Mheshimuwa Jaffo kutowaondoa wamachinga mpaka muwe mmewapatia maeneo mengine ya biashara. Na katika video hiyo, umesikika ukikubaliana na raisi Magufuli ukisema kuwa "hizo ndo ajira zenyewe hizo"

Sasa mheshimiwa rais naomba kukuuliza maswali yafuatayo:

a) Kipi ulichokubaliana na rais Magufuli wakati huo ukiwa makamu wake ambacho leo unadhani wakati huo mlikosea?
b) Je, hayo mazingira mazuri na mbadala ya wamachinga kufanya shughuli zao wewe kama raisi umejiridhisha kuwa mamlaka za chini zimeyaandaa?

2. Mheshimiwa rais kumbuka mlitunga sheria ya wamachinga kulipa 20000 kwa mwaka ili wafanye biashara zao wasibughudhiwe
Je, mheshimiwa rais, hii sheria mmeifuta lini?, na je mtawarudishia lini pesa zao?

3. Mheshimiwa rais, umevunja ahadi ya kampeni iliyowapeni kura
Mheshimiwa rais, ahadi ya muungwana anapoahidi jambo hutekeleza. Wewe na rais Magufuli mlizunguuka sehemu kubwa ya nchi hii kuomba kura, na mliwaahidi wamachinga kutowabughudi, na mkasema wakilipa elfu ishirini zao watafanya biashara zao bila kubughudhiwa. Leo hii Wamachinga sehemu zao zinavamiwa usiku, watu wsnavunja mali zao, nyingine zinachukuliwa, Hii mheshimiwa rais unaiona ni sawasawa?

Unaona ni sawasawa uonevu mkubwa kabisa na dhulma kubwa wanayofanyiwa hawa wananchi wa Jsmhuri ya Muungano wa Tanzania?. Ukweli wa ahadi yenu wa kampeni uko wapi? Tuseme basi mmeamua bila soni kuvunja ahadi yenu ya kampeni. Je, mmeshindwa kulifanya hili zoezi kwa uso wa utu?

4. Hili zoezi linawatia wananchi umasikini zaidi na linatweza utu wao
Hawa wamachinga ni watu wanaopata ajira zao halali kwa kujituma, ni watu wanaolisha familia zao kwa kazi hizihizi ambazo baadhi ya watu wanaziita "kuchafua miji", kwa nini angalau tusiheshimu hilo?

Mheshimiwa rais wewe unajua shida ya ajira katika nchi hii, leo hii hili jeshi la vijana lisilo na ajira utalipeleka wapi kama hata jitihada zao za kujitafutia riziki badala ya kuzipangia utaratibu mzuri sisi tunaona tufukuzefukuze, tubomoebomoe tu, Tunaipeleka nchi wapi kwa aina ya maamuzi kama haya?

5. Mheshimiwa rais, lawama zote zinakushukia wewe, THE BUCK STOPS WITH YOU
Mheshimiwa rais, hili zogo, unyanyasaji na uendeshaji wa zoezi lisilozingatia utu, lawama zibakuangia wewe mhedhimiwa rais. Ulikuwa na nguvu za kimaamuzi na kibajeti za kuamuru hili zoezi lizingatie haki zotw za binadamu na sheria na taratibu na busara lakini unawaacha wasaidizi wako wafanye uharibifu wa mali wa hawa wananchi wa kipato cha chini. Mheshimiwa Rais Tunataka uzuie zoezi hili mara moja mpaka utaratibu mzuri uwekwe! Leo hii wanaamka watu wanavunja msli za wananchi usiku wa manane, na wewe ndiye rais unaawacha wafanye udhalimu huu maana yake nini?

6. Mheshimiwa rais, kukitokea uvunjifu wa amani, sababu ya zoezi hili wewe na chama chako cha Mapinduzi mtabeba lawama zote
Hawa wanachinga mliwageuza mtaji wa kura, mkawaahidi ahadi ambayo leo hii mnawageuka, sasa kama kukitokea uvunjifu wa amani kwa nini wewe na CCM msibebe lawama.

Mheshimiwa rais huwezi kujitoa, na kujitenga na maamuzi ya rais Magufuli katika hili suala, wewe ulikuwa ni. msaidizi wake mkuu na mgombea mwenza. Kura za Magufuli ni kura zako, Ahadi za Magufuli ni zako. Ile ilikuwa ni serikali yenu, huwezi kukwepa hili. Tueleze sisi wananchi leo kunani unakwenda nyuzi 180 tofauti katika hili suala?

7. Mheshimiwa rais, pamoja na sheria lakini nchi hii inapaswa iongozwe kwa Busara, hekima, mila nzuri na tamaduni nzuri za Mtanzania
Watanzania tulishakataa masuala ya ukandamizaji wa wananchi, Watanzania tulishasema kuwa sheria ni zetu lakini sisi hatumilikiwi na sheria hususan linapokuja suala la masilahi mapana ya wananchi. Ndiyo masna kwa mujibu wa sheria za usafiri kusimamisha watu kwenye vyombo vya usafiri vya umma haikubaliki, lakini mazingira yetu ya hali halisi yanapelekea hivyo. Ni kinyume cha sheria ndiyo lakini tunafumba macho. Sasa leo hii linapokuja suala kuhusu kula na Shibe ya watu, tunakwenda tu kutumia miguvu bila kujali social economic situation ya watu wetu?

Na kama mnasema eti mnadimamia sheria, kwani sheria ngapi mnazivunja kila siku?, Vifungu vingapi mnavivunja kila siku? —Leo hii mnavizuia vyama vya siada kufanya shughuli zao halali za kisiasa kinyume cha sheria na katiba lakini sijawahi kuona mkijutia leo, sasa eti ndo mje mtwambie kuwa mko serious na sheria za mipango miji linapokuja suala la wamachinga, Hizo sheria nyingine je mnataka kutwambia kuwa hamzioni?

Mheshimwa rais onyesha Leadership katika hili suala la wamachinga yanayoendelea nchini si sawa na hayakubaliki!

Tazama hii video usikie jinsi zoezi hili linavyoendeshwa kinyama

View attachment 1991704
Usimtishe Rais kwa hoja zako zisizo na mashiko

Kwanza unatakiwa ujibiwe kihuni kama ulivyoletwa kihuni.
1. Machinga wnaoweka makazi sio machinga halisi. Machinga ni mtu wa kutembeza vitu,haitaji kukutana na serikali kwani ni mtu wa mwendo. Hawa wamebaki wauza ulembo, vitana, soksi. Sasa machinga gani anamiliki duka hangani la vipodozi, shehena na vinywaji.
2. Machinga ni source ya bidhaa feki zilitotapakaa mjini. Huyu uhuza pombe feki, simu feki, vitu vya umeme feki.
3. Machinga anauza mali iliyoiibiwa madukani, hatoi risit kwa kuwa yupo free.
4. Machinga anasababisha ajari za magari kwani wanapanga vitu njiani kuziba wapita njia mpaka wanaingia njia kuu.
5. Machinga anazalisha taka asizohudumia mfano anakamua juice ya miwa, anauza matunda kama mabasi, machungwa taka anaacha pale bila kufikia.
6. Machinga alikuwa anazuia parking system, sehemu ya magari wanayolipa elf tatu kwa siku anachukua yeye kwa kuweka takataka zake.
7. Machinga maficho ya vibaka, ile kangomba inafanywa sana, unauziwa viatu vibovu kwa kufungiwa feki.
8.achinga wanauza bidhaa zote zilizowekewa zuio wanauza kwa magendo, uuza bidhaa zilizoisha muda.
9. Machinga wanazuia maduka halali wasifanye biashara na wanakiburi sana wanapoambiwa wasogee.

Kuna mengi mabaya wafanyayo ila tuishie hapa
 
Na hili ni tatizo.
Naona akina Majaliwa wanakazana kusema yeye ndo raisi hadi mwaka 2030.

Hawana hofu tena ya wananchi maana watafanya magumashi yao tu wanayoyajua kwenye chaguzi
Sasa ndo naelewa kwanini waziri mkuu ni ngumu kuwa rais,ni Nyerere tu alipenya.
Kumbe unafiki na kujipendekeza kwa rais kunawafanya waonekane wa hovyo
 
Baadhi yenu tayari mitaji mizuri mnayo
Kwani mlikua maeneo mazuri rent free tax free
Ni muda sasa mpangishe fremu muendelee na maisha rasmi kama watanzania wengine wengi
 
Ukipata sheria ya kitambulisho cha machinga elfu 20 ntakupa zawadi

Lile lilikua ni tamko sio sheria
Na ndo mana leo hii hamna anaeviulizia...
 
Usimtishe Rais kwa hoja zako zisizo na mashiko

Kwanza unatakiwa ujibiwe kihuni kama ulivyoletwa kihuni.
1. Machinga wnaoweka makazi sio machinga halisi. Machinga ni mtu wa kutembeza vitu,haitaji kukutana na serikali kwani ni mtu wa mwendo. Hawa wamebaki wauza ulembo, vitana, soksi. Sasa machinga gani anamiliki duka hangani la vipodozi, shehena na vinywaji.
2. Machinga ni source ya bidhaa feki zilitotapakaa mjini. Huyu uhuza pombe feki, simu feki, vitu vya umeme feki.
3. Machinga anauza mali iliyoiibiwa madukani, hatoi risit kwa kuwa yupo free.
4. Machinga anasababisha ajari za magari kwani wanapanga vitu njiani kuziba wapita njia mpaka wanaingia njia kuu.
5. Machinga anazalisha taka asizohudumia mfano anakamua juice ya miwa, anauza matunda kama mabasi, machungwa taka anaacha pale bila kufikia.
6. Machinga alikuwa anazuia parking system, sehemu ya magari wanayolipa elf tatu kwa siku anachukua yeye kwa kuweka takataka zake.
7. Machinga maficho ya vibaka, ile kangomba inafanywa sana, unauziwa viatu vibovu kwa kufungiwa feki.
8.achinga wanauza bidhaa zote zilizowekewa zuio wanauza kwa magendo, uuza bidhaa zilizoisha muda.
9. Machinga wanazuia maduka halali wasifanye biashara na wanakiburi sana wanapoambiwa wasogee.

Kuna mengi mabaya wafanyayo ila tuishie hapa

Machinga ni mtanzania ambae humlishi, humtibu,humpi malazi na elimu
 
1. Una hakika gani kama walikaa wote na Magufuli wakapanga hayo?

- Magufuli alikuwa mbabe asiefuata sheria wala ushauri wa mtu, ndio maana ilisemekana hata mama kuna wakati alitaka kuikimbia ofisi ya VP mpaka pale aliposhauriwa na wastaafu ndio akaamua kubaki.

2. Ahadi za kampeni?

- Hawakushinda kwa kura, kila mtu anajua kazi iliyofanywa kwa kutumia yale mabegi meusi, na kina Mahera.

3. Zoezi linawatia wananchi umaskini?

- Kama taifa tumekuwa tukipigana na maadui watatu, ujinga, umasikini, na maradhi toka tupate uhuru, kwasasa umasikini ni asili yetu kama ilivyo ngozi nyeusi.

4. Kukitokea uvunjifu wa amani?

- Hauwezi kutokea, watanzania kwa asili yetu ni makondoo, kama tunachezewa akili kwenye uchaguzi kama taifa na wote tunabaki kimya, hilo kundi la machinga peke yao haliwezi fanya chochote (hakuna organisation).

5. Unapigia debe sheria kuvunjwa ili kuwaacha wamachinga barabarani!, tena unasisitiza sheria nyingi zimeshavunjwa kama ile PGO inayomfanya Mbowe kuendelea kukaa jela mpaka leo (yani huku unaacha kule unalaani) wacha biashara yako; uvunjifu wowote wa sheria kwa taifa letu bila kujali unamuhusisha nani lazima ulaaniwe vikali.

Taifa lazima liongozwe kwa sheria sio busara, kufanya hivyo ni sawa na kucheza kamari.
Busara na sheria kipi ni sahihi kutumia kwa ajili ya kufanya maamuzi sahihi kwa uelewa wako?
 
Naona CCM wametoka mafichoni kulaani zoezi linavyoendeshwa, yaani wanaibuka leo baada ya uharibifu mkubwa wa miundo mbinu ya wamachinga na hata uporwaji wa mali zao, Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali hii ya Samia
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom