toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
KWENYE HILI SHEKHE WANGU PONDA UMECHEMSHA!
Kwanza nikiri kwamba mimi ni muislam tena nimetokea kwenye familia ya watu wanaoijua dini,kuanzia wazee wetu na babu yangu alikua sheikh wa Bakwata wilaya nisiende sana huko
Mimi sijaelewa ..point za msingi ni zipi sisi waislam apo kwenye teuzi? Zipi sifa za teuzi za nafasi za ajira kama hizo za serikali? Unaangaliwa udini au elimu na sifa nyingine? Je sisi waislam tupo wangapi wenye elimu ya kushika nafasi hizo waliopo serikalini? Lazima tukubali wenzetu wapo wengi waliosoma zaidi na weredi wa kazi kutuzidi sisi..lazima kila eneo tuwe wachache...ili kulibadilisha hili tusomeshe watoto wetu wapate elimu bora ..hasa za vyuo vikuu..ipo siku tutakua sawa au kuwazidi...au Ponda alitaka 50/50 kwenye teuzi ?
Kama sasa waislam waliopo serikali wenye sifa Za kuteuliwa wapo wachache?...au atolee mfano Tu yeye Ponda kama ana mtoto au ndugu aliachwa kuteuliwa serikalini kisa uislam Wake na sifa anazo? Ebu azungumzie basi sekta binafsi..aende Kampuni ya Azam akaangalie ajira kati ya waislam na wakristo aone tofauti..inawezekana kuwa waislam as 98% ,wakristo 2%, aache kulalamika pasipo ushahidi wa uhakika...
Mfano mdogo sisi waislam kielimu tupo nyuma sana tungekua angalau sawa kielimu na ndugu zetu wakristo tungeenda sawa
Mfano mdogo tu wa kielimu na uteuzi ni wachaga waislam wachaga waislam 98% ni wasomi na wameenda shule kweli kweli na wapo vitengoni na wameajiriwa vizuri tu serikalini na wizarani bila tatizo lolote wala ubaguzi wowote sasa hapo ndo utaamini wanacholalamika kina ponda hakina mantiki yoyote
Waislam wa Tanzania wajitahidi wawekeze kwenye elimu kama wakristo au hata waislam wenzao wa kule uchagani na upareni mfano huko Machame na masama waone kama wataachwa kwenye hizo nafasi au lah mimi nachoongea nakielewa nimetokea huko Moshi, ukoo wetu ni wasomi sana na hakuna aliyeachwa wengine ni maprofessa vyuo vikuu, wengine wapo huko nchi za kigeni wengine wameshika nafasi nyeti wizarani
Kwa hili ponda sikuungi mkono kabisa mimi mwenyewe ni muislam lakini kwa hili la kusema eti kuna udini kwenye teuzi sikuungi mkono kabisa!
Kwanza nikiri kwamba mimi ni muislam tena nimetokea kwenye familia ya watu wanaoijua dini,kuanzia wazee wetu na babu yangu alikua sheikh wa Bakwata wilaya nisiende sana huko
Mimi sijaelewa ..point za msingi ni zipi sisi waislam apo kwenye teuzi? Zipi sifa za teuzi za nafasi za ajira kama hizo za serikali? Unaangaliwa udini au elimu na sifa nyingine? Je sisi waislam tupo wangapi wenye elimu ya kushika nafasi hizo waliopo serikalini? Lazima tukubali wenzetu wapo wengi waliosoma zaidi na weredi wa kazi kutuzidi sisi..lazima kila eneo tuwe wachache...ili kulibadilisha hili tusomeshe watoto wetu wapate elimu bora ..hasa za vyuo vikuu..ipo siku tutakua sawa au kuwazidi...au Ponda alitaka 50/50 kwenye teuzi ?
Kama sasa waislam waliopo serikali wenye sifa Za kuteuliwa wapo wachache?...au atolee mfano Tu yeye Ponda kama ana mtoto au ndugu aliachwa kuteuliwa serikalini kisa uislam Wake na sifa anazo? Ebu azungumzie basi sekta binafsi..aende Kampuni ya Azam akaangalie ajira kati ya waislam na wakristo aone tofauti..inawezekana kuwa waislam as 98% ,wakristo 2%, aache kulalamika pasipo ushahidi wa uhakika...
Mfano mdogo sisi waislam kielimu tupo nyuma sana tungekua angalau sawa kielimu na ndugu zetu wakristo tungeenda sawa
Mfano mdogo tu wa kielimu na uteuzi ni wachaga waislam wachaga waislam 98% ni wasomi na wameenda shule kweli kweli na wapo vitengoni na wameajiriwa vizuri tu serikalini na wizarani bila tatizo lolote wala ubaguzi wowote sasa hapo ndo utaamini wanacholalamika kina ponda hakina mantiki yoyote
Waislam wa Tanzania wajitahidi wawekeze kwenye elimu kama wakristo au hata waislam wenzao wa kule uchagani na upareni mfano huko Machame na masama waone kama wataachwa kwenye hizo nafasi au lah mimi nachoongea nakielewa nimetokea huko Moshi, ukoo wetu ni wasomi sana na hakuna aliyeachwa wengine ni maprofessa vyuo vikuu, wengine wapo huko nchi za kigeni wengine wameshika nafasi nyeti wizarani
Kwa hili ponda sikuungi mkono kabisa mimi mwenyewe ni muislam lakini kwa hili la kusema eti kuna udini kwenye teuzi sikuungi mkono kabisa!