BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,703
- 6,498
Ukiangalia Biashara ya kuuza nafaka Kenya hasa Mahindi imejikita kufurahisha Wakenya zaidi na hasa Raisi wao.
Kwa Mujibu wa vituo vya hali ya hewa Duniani, swala la ukame hasa ukanda wa Africa Mashariki linatarajia kuwepo hata mwakani na huenda tukushahudia mvua chache sana za Masika na ukame wa kutisha kabisa.
Kuendelea kuuza Mahindi Kenya ni kutafuta Balaa ni bora Serekali ikaangalia jinsi ya kuongeza Bei na yale Maghala ya Taifa yanunue mahindi kwa wingi sana.
Tukiendelea kuwafurahisha Wakenya tujiandae Mwakani kununua mahindi kutoka nje tena hao hao Wakenya watatuuzia.
Nazani wote tunakumbuka 2017 kipindi Magufuri RIP anaombwa chakula barabarani na wananchi.
Kwa Mujibu wa vituo vya hali ya hewa Duniani, swala la ukame hasa ukanda wa Africa Mashariki linatarajia kuwepo hata mwakani na huenda tukushahudia mvua chache sana za Masika na ukame wa kutisha kabisa.
Kuendelea kuuza Mahindi Kenya ni kutafuta Balaa ni bora Serekali ikaangalia jinsi ya kuongeza Bei na yale Maghala ya Taifa yanunue mahindi kwa wingi sana.
Tukiendelea kuwafurahisha Wakenya tujiandae Mwakani kununua mahindi kutoka nje tena hao hao Wakenya watatuuzia.
Nazani wote tunakumbuka 2017 kipindi Magufuri RIP anaombwa chakula barabarani na wananchi.