Kwenye suala la kuuza mahindi nje Rais Samia aache kumfurahisha Uhuru Kenyatta

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,703
6,498
Ukiangalia Biashara ya kuuza nafaka Kenya hasa Mahindi imejikita kufurahisha Wakenya zaidi na hasa Raisi wao.

Kwa Mujibu wa vituo vya hali ya hewa Duniani, swala la ukame hasa ukanda wa Africa Mashariki linatarajia kuwepo hata mwakani na huenda tukushahudia mvua chache sana za Masika na ukame wa kutisha kabisa.

Kuendelea kuuza Mahindi Kenya ni kutafuta Balaa ni bora Serekali ikaangalia jinsi ya kuongeza Bei na yale Maghala ya Taifa yanunue mahindi kwa wingi sana.

Tukiendelea kuwafurahisha Wakenya tujiandae Mwakani kununua mahindi kutoka nje tena hao hao Wakenya watatuuzia.

Nazani wote tunakumbuka 2017 kipindi Magufuri RIP anaombwa chakula barabarani na wananchi.
 
Mkuu,

Njia pekee serikali inaweza kudhibiti mahindi kwenda nje ninpale itakapoamua kununua mahindi hayo direct kwa mkulima na huku ikihakikishq kuwa inampatia ruzuku kwenye pembejeo.

Serikali haimsaidii chochote mkulima anapo bet na pesa yake shambani, halafu inataka kuja ku control soko lake ,
 
Tukiendelea kuwafurahisha Wakenya tujiandae Mwakani kununua mahindi kutoka nje tena hao hao Wakenya watatuuzia.
Muacheni mkulima naye anufaike. Tafuta hela naye awe na chakula ndipo utajua Cha muhimu ni Nini kwako.

Mkulima amenyanyasika Sana miaka yote jamani acha naye afurahie nchi yake. Mana aliishi Kama mtumwa. Kama vipi kalime na wewe afu upangiwe pa kuuza ili wasiolima wafurahie ndo utajua Kama haujui.

Ardhi tz tunayo.
 
Ukiangalia Biashara ya kuuza nafaka Kenya hasa Mahindi imejikita kufurahisha Wakenya zaidi na hasa Raisi wao.

Kwa Mujibu wa vituo vya hali ya hewa Duniani, swala la ukame hasa ukanda wa Africa Mashariki linatarajia kuwepo hata mwakani na huenda tukushahudia mvua chache sana za Masika na ukame wa kutisha kabisa...
Sasa kama NFRA, wamesitisha kununua mahindi kuwa wamefikia ukomo wa bajeti, watu wafanye nini?na ndio wanategemea kuuza na kununua pembejeo za kilimo kwa msimu huu?

JPM alijitafutia balaa mwenyewe kwa wananchi wake, miaka yote serikali huwa inanunúa angalau tani laki 3, za mahindi na kuyahifadhi, yeye akaja na kiwango cha tani elfu 80!!unategemea nini?
 
Kama unaogopa njaa kalime lakini siyo kuzengea mahindi ya mwenzako.
Food Export Quotas inafanywa na Nchi nyinhi, Fuatilia hata nchi zinazo zalisha Wheat kwa wingi huwa kama mavuno sio mazuri huwa wana limiti kiwango cha kuuza nje
 
Sana, mtu kalima mahindi yake kwa
jasho lake ila kibwengo mwingine anatokea kusikojulikana anataka ampangie auze kwa nani na wapi kwa amri tu!
Huwezi amini ulivyoandika hapa atakuona wewe sio mzalendo 😄😄
 
Miaka 60 ya uhuru kama watanzania hawajui kuweka akiba siwajifie Maguli aliwaambia serikali haina shamba,waache wakulima wauze mahindi yao popote maadam bei ni nzuri.
Uuzaji wa Vyakula nje hasa kama kuna possibility ya uhaba huwa inafanywa na nchi nyingi
 
Food Export Quotas inafanywa na Nchi nyinhi, Fuatilia hata nchi zinazo zalisha Wheat kwa wingi huwa kama mavuno sio mazuri huwa wana limiti kiwango cha kuuza nje
Mambele huko serikali zao zinatoa subsidies/incentives kwa wakulima wao in case of mambo Kama hayo.Wewe huku hutoi solution.
 
Ifike wakati wakulima tuheshimiwe

Wakati wa kulima mbona hatuwaon mkija shamban kutushauri au kutupunguzia gharama.za pembejeo

Leo nimevuna changu mnataka kunipangia sheria kibao kila.kona

Asee hi n dhamb ambayo taifa inalitafuna kukandamiza wakulima

Mbona mnapopokea mishahara yenu sisi hatuwapangii nn Cha kununua


Manyoko zenu mnatia hasira
 
Back
Top Bottom