kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,887
Mambo ya virusi vya ukimwi na ukimwi vingekua vimeibukia karne hii na miaka hii ya smartphone basi huu ugonjwa watu wangeushtukia kama walivyoshtukia Corona
Kwa hili wazungu walitupiga sana Africa
Ni kiasi cha kwamba miradi yao ya ARVs inazidi kuingiza mabilioni ya dola huku watu wetu wakigeuzwa "addicted" au mateja wa Arvs
Maana ukiacha Arvs kifo kinakuhusu........Hii ni mkakati wa kuuza dawa tu hawa watu noma aisee
Sasa hivi kupima kwa wamama wajawazito ndo imekua kipaumbele na lazima ili waendelee kutupiga tu ili waendelee kupata wateja wa dawa zao
Mtu akiwa mjamzito kinga ya mwili inashuka na ukiupima upungufu wa kinga mwilini lazima kuna uwezekano wanawake wengi kuonekana anao
Watu wetu wanakufa kwa hofu tu
Mpaka leo virusi havijawahi kuonekana maabara ni fix tu mnapimaga virusi au mnapimaga upungufu wa kinga?
Utapiamlo wangu kwa uzembe wangu wa kutokula nitamuambukizaje mke wangu?
Kwanini wengi wanaotumiaga Arvs ndo wanaoteseka zaidi?
Kwanini ni Africa tu tena kusini mwa jangwa la sahara ndo cases kubwa za ukimwi zipo huku Europe kukiwa na kiwango hadi 0 na point kadhaa?
Issue ya HIV tulipigwa tu
Hakunaga HIV bali UKIMWI upo
Mimi nilishtukia huu mchezo wao mchafu....lakini tahadhari zote nachukua na kila mmoja anapaswa kuchukua tahadhari zote zilizoshauriwa ila ondoa hofu kabisa maana watu wanakufa kwa hofu tu......Pamoja na hayo, lakini najua hii ni Scam na miradi ya wachache tu sasa ukitaka wakunyoe bila maji basi kama kiongozi tamka upingane na hao juu ya hili mabeberu wa ulaya na marekani watakuparua fasta maana huu ni mradi wao
Ifike mahali africa iwekeze kwenye tafiti tu bila hivyo tutakwisha kwa kukosa maarifa
Kwa hili wazungu walitupiga sana Africa
Ni kiasi cha kwamba miradi yao ya ARVs inazidi kuingiza mabilioni ya dola huku watu wetu wakigeuzwa "addicted" au mateja wa Arvs
Maana ukiacha Arvs kifo kinakuhusu........Hii ni mkakati wa kuuza dawa tu hawa watu noma aisee
Sasa hivi kupima kwa wamama wajawazito ndo imekua kipaumbele na lazima ili waendelee kutupiga tu ili waendelee kupata wateja wa dawa zao
Mtu akiwa mjamzito kinga ya mwili inashuka na ukiupima upungufu wa kinga mwilini lazima kuna uwezekano wanawake wengi kuonekana anao
Watu wetu wanakufa kwa hofu tu
Mpaka leo virusi havijawahi kuonekana maabara ni fix tu mnapimaga virusi au mnapimaga upungufu wa kinga?
Utapiamlo wangu kwa uzembe wangu wa kutokula nitamuambukizaje mke wangu?
Kwanini wengi wanaotumiaga Arvs ndo wanaoteseka zaidi?
Kwanini ni Africa tu tena kusini mwa jangwa la sahara ndo cases kubwa za ukimwi zipo huku Europe kukiwa na kiwango hadi 0 na point kadhaa?
Issue ya HIV tulipigwa tu
Hakunaga HIV bali UKIMWI upo
Mimi nilishtukia huu mchezo wao mchafu....lakini tahadhari zote nachukua na kila mmoja anapaswa kuchukua tahadhari zote zilizoshauriwa ila ondoa hofu kabisa maana watu wanakufa kwa hofu tu......Pamoja na hayo, lakini najua hii ni Scam na miradi ya wachache tu sasa ukitaka wakunyoe bila maji basi kama kiongozi tamka upingane na hao juu ya hili mabeberu wa ulaya na marekani watakuparua fasta maana huu ni mradi wao
Ifike mahali africa iwekeze kwenye tafiti tu bila hivyo tutakwisha kwa kukosa maarifa