Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,078
Inashangaza sana tuna Taasisi za Utafiti wa magonjwa na Afya ya binadamu kama NIMR na IFHI, tuna vyuo vikuu vya tiba na huko kote kuna wasomi wanaojiita wabobezi na wa watafiti, nimejiuliza sana wakati hao wasomi wa Kizungu wanalala na kuamkia Maabara hawa wa kwetu wao wanafanya nini?
Sijawahi kusikia ni zao gani la tafiti zao ktk tiba limesaidia kuondoa changamoto ktk jamii yetu iwe ni ya Homa ya Dengue ama chochote. Sasa nnajiuliza usomi wao una faida gani kwa jamii yetu?
Jambo la kushangaza ni pale hata wale tunaowaamini wakiwa na majina makubwa na Uprofesa na Udokta wao sasa wamegeuka wapiga ramli, yaani wanatuchanganyia viungo vya mboga wanaziita ni dawa, wengine wameenda mbali wameamua kutuambia eti wana mashine za kujifukiza tena ktk Taasisi kubwa za tiba, yaani unamuangalia Professor akiongea unashindwa kumtofautisha na mwanafunzi wa vidudu, kweli yaan wasomi wetu tunawatofautisha vipi na kina Mwaka ama yule bwa majini wa mabibo?
Yapo mambo yakisemwa na mtu unaetegemea aje na suluhu za kisayansi unapata Ganzi kama kweli hawa wasomi wako serious au kama na wao wana machapisho ktk majirida makubwa ya dunia ya sayansi ikiwa yeye anaiambia jamii inayomtegemea ikajipashe moto kutibu maradhi makubwa.
Mimi nnadhani ifike mahala ikiwezekana kuwepo sheria inayowalazimisha wasomi wetu kuja na majawabu ya kisomi kwenye changamoto za kijamii au laah waondolewe huko wakafanye kazi zingine kuliko kujiaminisha tuna vichwa msaada kumbe tuna wachanganya viungo ambavyo hata Marehemu babu yangu alifanya akiwa hajakanyaga hata darasa moja. Inatia kinyaa now days kumsikiliza Profesa akiongea kuliko hata mwanangu wa vidudu
Sijawahi kusikia ni zao gani la tafiti zao ktk tiba limesaidia kuondoa changamoto ktk jamii yetu iwe ni ya Homa ya Dengue ama chochote. Sasa nnajiuliza usomi wao una faida gani kwa jamii yetu?
Jambo la kushangaza ni pale hata wale tunaowaamini wakiwa na majina makubwa na Uprofesa na Udokta wao sasa wamegeuka wapiga ramli, yaani wanatuchanganyia viungo vya mboga wanaziita ni dawa, wengine wameenda mbali wameamua kutuambia eti wana mashine za kujifukiza tena ktk Taasisi kubwa za tiba, yaani unamuangalia Professor akiongea unashindwa kumtofautisha na mwanafunzi wa vidudu, kweli yaan wasomi wetu tunawatofautisha vipi na kina Mwaka ama yule bwa majini wa mabibo?
Yapo mambo yakisemwa na mtu unaetegemea aje na suluhu za kisayansi unapata Ganzi kama kweli hawa wasomi wako serious au kama na wao wana machapisho ktk majirida makubwa ya dunia ya sayansi ikiwa yeye anaiambia jamii inayomtegemea ikajipashe moto kutibu maradhi makubwa.
Mimi nnadhani ifike mahala ikiwezekana kuwepo sheria inayowalazimisha wasomi wetu kuja na majawabu ya kisomi kwenye changamoto za kijamii au laah waondolewe huko wakafanye kazi zingine kuliko kujiaminisha tuna vichwa msaada kumbe tuna wachanganya viungo ambavyo hata Marehemu babu yangu alifanya akiwa hajakanyaga hata darasa moja. Inatia kinyaa now days kumsikiliza Profesa akiongea kuliko hata mwanangu wa vidudu