Kamwene kamwene
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 1,159
- 2,585
Wasalaamu!!! Weekend ndio hiyo imepamba moto
Sasa tuambiane majina ya michepuko tuliyoyasave kwenye simu zetu.
Nikianza na mimi ninao wawili wa
kwanza nimesave crdb mkopo uyu hata usipopokea simu yake unajibu nadaiwa siwezi kupokea
Wa pili nimesave UVCCM mweyekiti nsipopokea simu nasema wanataka kunikumbusha nikalipie card
Wa tatu nimesave Dalali akipiga nisipopokea nasema nilimwambia atutafutie kiwanja
Wewe umesave jina gani ? Na kwanini ?
Sasa tuambiane majina ya michepuko tuliyoyasave kwenye simu zetu.
Nikianza na mimi ninao wawili wa
kwanza nimesave crdb mkopo uyu hata usipopokea simu yake unajibu nadaiwa siwezi kupokea
Wa pili nimesave UVCCM mweyekiti nsipopokea simu nasema wanataka kunikumbusha nikalipie card
Wa tatu nimesave Dalali akipiga nisipopokea nasema nilimwambia atutafutie kiwanja
Wewe umesave jina gani ? Na kwanini ?