Juaangavu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2009
- 935
- 132
Wachumi tusaidieni kutafakari hizi takwimu: Mnamo mwaka 1998 - uzalishaji wa madini Tanzania ulikuwa chini ya tani 1 na mchango wake ktk pata la taifa ulikuwa ni 2%; na mara baada ya kupokea wawekezaji wengi ktk sekta hii kufikia mwaka 2005 uzalishaji ulikuwa ni zaidi ya tani 50 na mchango wake ktk pato la taifa ni 3.5%. Wataalam wa mahesabu tusaidieni hapo kuna uwiano wowote; nany watalaam wa uchumi mtusaidie kuelewa sarakasi ya hizi namba.
Hivi haya madini yangeliendelea kubaki huko chini ili hali tunajipanga sisi wenyewe ili tuweze kuyachimba yangilioza au vipi.
Gonga hapa upate details:
Ministry of Energy and Minerals - Documents - Mineral Sector
Hivi haya madini yangeliendelea kubaki huko chini ili hali tunajipanga sisi wenyewe ili tuweze kuyachimba yangilioza au vipi.
Gonga hapa upate details:
Ministry of Energy and Minerals - Documents - Mineral Sector