Kwenye sekta ya Elimu kuna maajabu

The golden

JF-Expert Member
Sep 11, 2018
1,381
2,553
Nimesoma ukurasa wa Malisa huko Instagram akijaribu kumtetea mwalimu mmoja mwenye elimu ya juu kabisa kiwango cha Masters, lakini mwalimu huyo bado analipwa mshahara wa elimu ya Certifacte hadi leo na bado anafundisha darasa la tatu.

Ninachotaka kusema hapa ni kwamba siyo mwalimu huyo tu. Kwenye sekta ya elimu watu wa aina yake wako wengi sana. Sekta ya elimu ndio sekta inayongoza kuwa na watumishi wenye kiwango kikubwa cha elimu. Jambo la kushangaza ni kwamba vigezo vya promotion havieleweki ,unaweza kukuta Afsa elimu wa wilaya ana Diploma halafu mwalimu anayefundisha darasa la pili ana masters degree.

Qualifications za leadership position hazieleweki. Naishauri serikali ya mama ianze sasa kuliweka sawa swala hili.
 
Katika taaluma ambako elimu haina maana ni education. Treatment ya certificate, Dip, bachelor, masters na kuendelea ni moja hakunaga adabu.
Haaaaaa, haaaaaa, . Sekta ya elimu ni shida.
 
Anahitajika kiongozi atakaeweza kufumua mfumo mzima wa elimu na mitaala ya nchi yetu pendwa na kuanza kuisuka UPYAAA Elimu yetu imekaa ki-analog zaidi wakat dunia ipo Digital kwa kasi ya 4G kwaio tunapishana na gari la mafanikio sanaaa kama kila raisi atakuja kujenga madaraja na SGR bila kuangalia kwa jicho la 3 sekta ya Elimu bac tenda za ujenzi wa miundombinu watapewa haohao wachina,wajapan milele daima Aminaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anahitajika kiongozi atakaeweza kufumua mfumo mzima wa elimu na mitaala ya nchi yetu pendwa na kuanza kuisuka UPYAAA Elimu yetu imekaa ki-analog zaidi wakat dunia ipo Digital kwa kasi ya 4G kwaio tunapishana na gari la mafanikio sanaaa kama kila raisi atakuja kujenga madaraja na SGR bila kuangalia kwa jicho la 3 sekta ya Elimu bac tenda za ujenzi wa miundombinu watapewa haohao wachina,wajapan milele daima Aminaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly.
 
Anahitajika kiongozi atakaeweza kufumua mfumo mzima wa elimu na mitaala ya nchi yetu pendwa na kuanza kuisuka UPYAAA Elimu yetu imekaa ki-analog zaidi wakat dunia ipo Digital kwa kasi ya 4G kwaio tunapishana na gari la mafanikio sanaaa kama kila raisi atakuja kujenga madaraja na SGR bila kuangalia kwa jicho la 3 sekta ya Elimu bac tenda za ujenzi wa miundombinu watapewa haohao wachina,wajapan milele daima Aminaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kisera, hii tayari imefanyiwa kazi. Umeisoma weye sera ya elimu? Imesukwa ikasukika...

Inshu inakuja kwenye utekelezaji.

Kwa mfano: National Qualifications Framework (NQF) -- mwarobaini wa matatizo mengi ya elimu TZ -- sina hakika iwapo imehuishwa.
 
Back
Top Bottom