Gari Moshi
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 679
- 419
Kwani mwenzetu unaletewa vyakula na serikali bure?Ungekuwa tayari hao ( hawa ) Walipwe Matrilioni ya Pesa ili Filamu ikamilike utakavyo na Tanzania ( hasa Hazina ) iishiwe Pesa kabisa na tuanze kupiga Miayo na Kushindia tu Maji na Uji wa Chumvi?