Imembe
Member
- Nov 13, 2020
- 51
- 44
Habari wakuu,
Niende kwenye kisa moja kwa moja.
Hapa jirani yangu kuna kijana alikuwa ana jishughulisha na kazi ya wizi,sasa si mnajua siku za mwizi ni 40, sasa jana kaingia sehemu mbaya wakambananisha, akala kichapo heavy hadi kupelekea Kifo
Sasa tukiwa msibani mara kibaka kafanya jaribio la kuiba simu; wazee wakamshitukia, kala kichapo mixer kukatwa mikono
Nb: Wazazi tuwe makini na watoto wetu, maisha au shughuli zisitufanye kusahau majukumu ya malezi ya watoto wetu.
Niende kwenye kisa moja kwa moja.
Hapa jirani yangu kuna kijana alikuwa ana jishughulisha na kazi ya wizi,sasa si mnajua siku za mwizi ni 40, sasa jana kaingia sehemu mbaya wakambananisha, akala kichapo heavy hadi kupelekea Kifo
Sasa tukiwa msibani mara kibaka kafanya jaribio la kuiba simu; wazee wakamshitukia, kala kichapo mixer kukatwa mikono
Nb: Wazazi tuwe makini na watoto wetu, maisha au shughuli zisitufanye kusahau majukumu ya malezi ya watoto wetu.