Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,543
- 4,761
Hapa msewe(ubungo) naona wanaua wezi mala kwa mala
Kuna jamaa alikuwa anaishi tegeta wazo, jamaa bonge la mtanashati, anajipenda kinoma. Madem wanampenda sana ila story za chini chini ikawa wanasema ni mwizi wa boxer na bajaj. baba yake ni mtu mwenye pesa ya kawaida yani gari tatu nyumba kadhaa fremu za kupangisha moja kampa dogo afanye biashara ya kukodisha vifaa vya mziki kwenye shughuli.Habari wakuu,
Niende kwenye kisa moja kwa moja.
Hapa jirani yangu kuna kijana alikuwa ana jishughulisha na kazi ya wizi,sasa si mnajua siku za mwizi ni 40, sasa jana kaingia sehemu mbaya wakambananisha, akala kichapo heavy hadi kupelekea Kifo
Sasa tukiwa msibani mara kibaka kafanya jaribio la kuiba simu; wazee wakamshitukia, kala kichapo mixer kukatwa mikono
Nb: Wazazi tuwe makini na watoto wetu, maisha au shughuli zisitufanye kusahau majukumu ya malezi ya watoto wetu.
Mkuu umewahi kuibiwa?Kulikuwa na haja gani ya kumdhulumu iyo nafsi ya huyo mwizi? Roho mbaya tu. Tanzania kila mtu ni mwizi kwenye nafasi yake. Hata wewe mleta mada ni mwizi vilevile kwenye nafasi yako. Mnafanya vibaya sana mkiwapiga na kuwatesa wezi wenzenu. Kuna sheria za nchi akamatwe apekekwe polisi na Sheria itafuata mkondo wake. Wote nyinyi ni maboriti.
Duuh umenikumbusha kisa flani! Hawa vibaka huwa ni shida sana wanapoenda kuzika! Kwanza wanakuwa wengiii na boda boda zao! Humo barabarani ni vurugu tupu. Kuna wengine walikuwa wanaenda kumzika mwenzao wametokea Goba wanaenda malamba, si wakafunga barabara pale Mbezi mwisho njia panda ya Goba! Wakasimamisha magari yoote wakakaa kati kati ya barabara vurugu tupu! Bahati nzuri polisi wa gogoni walipata taarifa mapema dakika sifuri FFU wakaja kuwatawanya na walifanikiwa kuwakamata wa kutosha tu!! Ni shida sana...Kuna jamaa alikuwa anaishi tegeta wazo, jamaa bonge la mtanashati, anajipenda kinoma. Madem wanampenda sana ila story za chini chini ikawa wanasema ni mwizi wa boxer na bajaj. baba yake ni mtu mwenye pesa ya kawaida yani gari tatu nyumba kadhaa fremu za kupangisha moja kampa dogo afanye biashara ya kukodisha vifaa vya mziki kwenye shughuli.
Dogo alikuwa na wanawake si chini ya watano na wote kawapangishia anawalisha. Pale ofisini kwake vitoto vyote vya mtaani vilivyonyoa kiduku ndipo yalikuwa makazi yao. Alikuwa anafahamiana na vibaka wote mtaani na alikuwa ana principal moja hakuna kuiba mtaani. Ikitokea vile vitoto vimeiba mtaani habari zikamfikia anaongozana na jeshi lake kwenda kumsaka huyo aliyeiba mtaani anampiga mpaka nusu kumtoa roho.
Za mwizi ni arobaini, siku moja nasikia kaenda tabata kuiba pikipiki, kaiba deal ikaenda ovyo wakamfukuza, wakamkamata wakapiga na kuua. Sasa kwenye msiba wake ilikuwa ni kufuru. Vibaka wote wa tegeta wazo madem wanalia viabaka ndo wanabeba jeneza. Kufika makaburini wakamfukuza Sheikh, mazishi wakaendesha wenyewe, kaburini wakamwaga karata maana alikuwa mecheza kamari.
Aliyenitia simanzi ni demu wake mmoja akawa analia eti, "Masikini jana kanipigia niende chukua pesa ya kodi, nikajifanya niko busy nitaifuata leo sasa kafa jamani mimi nitaendawap".
Wezi si watu wazuri aisee maana anaweza kutoa roho ama kukurudisha nyuma.Duuh umenikumbusha kisa flani! Hawa vibaka huwa ni shida sana wanapoenda kuzika! Kwanza wanakuwa wengiii na boda boda zao! Humo barabarani ni vurugu tupu. Kuna wengine walikuwa wanaenda kumzika mwenzao wametokea Goba wanaenda malamba, si wakafunga barabara pale Mbezi mwisho njia panda ya Goba! Wakasimamisha magari yoote wakakaa kati kati ya barabara vurugu tupu! Bahati nzuri polisi wa gogoni walipata taarifa mapema dakika sifuri FFU wakaja kuwatawanya na walifanikiwa kuwakamata wa kutosha tu!! Ni shida sana...
NB:sina huruma na wezi