lugonopanja98
JF-Expert Member
- Dec 16, 2020
- 265
- 139
Unajua mtwara na mzozo wa gesi walikua wamoto kuliko hyo kanda ambayo geita,kagera,shinyangana mwanza wanainyooshea chato kama ndiko waliko wapendwa wa jpm2025 CCM itakataliwa na nguvu kubwa upande wa Kanda ya ziwa...
Subiri ujionee màajabu ya 2025 Ccm hawajawahi kuona uchaguzi mgumu siku zote na popote pale