Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,480
- 35,371
Habari,
Hivi unajua kuwa ukienda Machimbo madogo ya dhahabu au madini ya vito unatakiwa kuweka uchu wa mafanikio mbali?
Malengo yoyote hupaswi kuweka. Nenda machimbo fanya kazi kama kazi wala kichwani usijijazie mimali.
Hii kanuni pia iko kwenye macasino.
Ukicheza casino huku unapigia hesabu ya fedha ambazo utazipata hutaambulia kitu.
Hili nimelifanyia uchunguzi wa kina, mimi mwenyewe nacheza sana casino hadi nimekuwa addicted.
Machimbo nimewahi kwenda pia.
Hivi unajua kuwa ukienda Machimbo madogo ya dhahabu au madini ya vito unatakiwa kuweka uchu wa mafanikio mbali?
Malengo yoyote hupaswi kuweka. Nenda machimbo fanya kazi kama kazi wala kichwani usijijazie mimali.
Hii kanuni pia iko kwenye macasino.
Ukicheza casino huku unapigia hesabu ya fedha ambazo utazipata hutaambulia kitu.
Hili nimelifanyia uchunguzi wa kina, mimi mwenyewe nacheza sana casino hadi nimekuwa addicted.
Machimbo nimewahi kwenda pia.