buhoro ksl
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 248
- 246
Kwenye list ya mabondia bora duniani aliyomo mwakinyo, why kina paciao, froyd maywather hawamo?
Kupitia jukwa hili, naamini majibu ntayapata
Kupitia jukwa hili, naamini majibu ntayapata
Inaelekea hujui hata chochote kuhusu mambo ya boxing!Kupitia jukwa hili ,naamini majibu ntayapata
Sasa si ndio maana ameuluza??!! wewe unayemjua si unatakiwa umjibu kwa ufasaha ama vipi mtaalam?!!!Inaelekea hujui hata chochote kuhusu mambo ya boxing!
Hata majina ya hao mabondia maarufu katika sayari hii, inakupa shida sana kuyaandika kwa usahihi!
Inaelekea hujui hata chochote kuhusu mambo ya boxing!
Hata majina ya hao mabondia maarufu katika sayari hii, inakupa shida sana kuyaandika kwa usahihi!
mkuu umeniongezea kitu kingine cha kuwauliza wanajukwaa, je? Kila shirika hapo juu lina mabondia wake? Na yanafanya kazi kwa kijitegemea? Ama inakuwaje mkuu?Tafadharini kuuliza sio ujinga mwenye nondo azitoe hapa. asanteBondia anayejulikana na shilika lipi ?
WBC
WBO
IBF
WBA
AIBA
Na Uzito upi ?
Fyod Mayweather amesha staafu ngumi. Hawezi kuwekwa kwenye ranks za mabondia.
Mkuu kwenye boxing kuna kipengele cha uzito wa bondia ambapo mabondia wenye uzito wa range flan let say 55-59kg wanapewa category na wanapewa rank yao. So Mwakinyo yupo kwenye uzito tofauti na kina Myweather na hata pia twaha kiduku ko hawawezi kua katika ranks moja, labda upime kwa kupitia star alizonazo bondia ambapo Mwakinyo ana Nyota nne kama sijakosea.Nawapongeza wote mliochangia kutoa kile mlichonacho japo kuna wengine wananibeza
hapana naukukatalia.... kinyooo yupo vizuri tuache chuki binafsiMwakinyo anachokitafuta atakipata muda si mrefu, kazi yake ya kuongea na mapromota na kuleta mabondia ambao ni CHOPRICHOPRI basi kiama chake kinakuja.
asante sana umeniongezea kituMkuu kwenye boxing kuna kipengele cha uzito wa bondia ambapo mabondia wenye uzito wa range flan let say 55-59kg wanapewa category na wanapewa rank yao. So Mwakinyo yupo kwenye uzito tofauti na kina Myweather na hata pia twaha kiduku ko hawawezi kua katika ranks moja, labda upime kwa kupitia star alizonazo bondia ambapo Mwakinyo ana Nyota nne kama sijakosea.
inaelekea wewe ni mtumwa wa akili eti kila siku ni nyuzi za simba na yanga tu....jimpambanue tokaa hukooooInaelekea hujui hata chochote kuhusu mambo ya boxing!
Hata majina ya hao mabondia maarufu katika sayari hii, inakupa shida sana kuyaandika kwa usahihi!
Sawa mwakinyohapana naukukatalia.... kinyooo yupo vizuri tuache chuki binafsi