Kwenye kutunga Sheria mbovu mlifanya wenyewe, Zimewatia hasara mnataka tuungane, nyinyi vipi?

Mahweso

JF-Expert Member
Jan 10, 2014
1,098
1,501
Hivi mnaona Watanzania ni walewale wa kudanganywa? Leo mnalaumu Chadema kutetea wezi, Hawa Chadema walipokuwa wanapiga kelele kuhusu Sheria Mbovu na Mikataba mibovu si mliwaona tena wanakwamisha maendeleo ya Nchi?

Haya mlisaini Mikataba haraharaka tena kwa Siri, Chadema hawakusani Mikataba na Wala hawakupitisha Sheria, CCM walipitisha Sheria mbovu na Serikali ikasani Mikataba mibovu , haya Chadema kosa lao kusema fuateni Sheria mlizozitunga wenyewe?

Sheria mlizitunga wenyewe kwanini hamtaki kuzifuata? ACACIA wanasema wanafanya kazi kwa mujibu wa Sheria za Tanzania na Mikataba yao inawaruhusu kusafirisha Mchanga, Nakumbuka wapinzania walipiga sana kelele oooooo mnatuachia mashimo wajukuu zetu watakuja kutuuliza, CCM wakasema wapinzania wanapinga maendeleo.

Huu mzigo ni wenu CCM, matakataka yote mliyaleta nyinyi, msimtafute wa kumtwisha zigo lenu, bebeni wenyewe,

Utafungaje ndoa, harafu baada ya ndoa ndio uanze kusema oooo mwanamke Mzee nisaidieni nimwache, kwani hukumwona kabla kabla ya kuoa? na uliambia mbona unaoa mzee ulijibu nimempenda usinipangie, Zigo lenu hili .
 
Ccm ndivyo walivyo zigo likiwafia wanatafuta huruma ya watanzania kwa kuwapakazia wapinzani uchafu wao.

Nakumbuka escrow walimwambia kafulila katumwa na kahongwa ili kukiangusha chama cha mapinduzi kwa kuikomalia inshu ya escrow ili kulivuruga Taifa leo kuna watu wamezirudisha pesa za escow ajabu hakuna hatua waliyochukuliwa.
 
Na Waswahili kwa kupenda kujifariji wakaja na usemi eti "Mchuma janga hula na wa kwao"

CCM wamechuma majanga wenyewe sasa wanataka Watanzania wote washiriki kwenye ujinga wao. Ccm ni shetani
 
Hivi mnaona Watanzania ni walewale wa kudanganywa? Leo mnalaumu Chadema kutetea wezi, Hawa Chadema walipokuwa wanapiga kelele kuhusu Sheria Mbovu na Mikataba mibovu si mliwaona tena wanakwamisha maendeleo ya Nchi?

Haya mlisaini Mikataba haraharaka tena kwa Siri, Chadema hawakusani Mikataba na Wala hawakupitisha Sheria, CCM walipitisha Sheria mbovu na Serikali ikasani Mikataba mibovu , haya Chadema kosa lao kusema fuateni Sheria mlizozitunga wenyewe?

Sheria mlizitunga wenyewe kwanini hamtaki kuzifuata? ACACIA wanasema wanafanya kazi kwa mujibu wa Sheria za Tanzania na Mikataba yao inawaruhusu kusafirisha Mchanga, Nakumbuka wapinzania walipiga sana kelele oooooo mnatuachia mashimo wajukuu zetu watakuja kutuuliza, CCM wakasema wapinzania wanapinga maendeleo.

Huu mzigo ni wenu CCM, matakataka yote mliyaleta nyinyi, msimtafute wa kumtwisha zigo lenu, bebeni wenyewe,

Utafungaje ndoa, harafu baada ya ndoa ndio uanze kusema oooo mwanamke Mzee nisaidieni nimwache, kwani hukumwona kabla kabla ya kuoa? na uliambia mbona unaoa mzee ulijibu nimempenda usinipangie, Zigo lenu hili .

CCM hili wanalo, walimeze tu, maana hakuna namna nyingine.
Si unakumbuka mambo ya gesi yalivyopelekwa ki-mwendo kasi?
 
Huo ujumbe unamhusu mtu aliyepost kwamba tunatumia matako kufikiria. Nami ndio nimemjibu kuwa labda matako ya mama yake.
Kwani ni dharua sana kutumia lugha isiyo na sitaha pale mtu anapotoa maoni bila kujali kuwa ni ujumbe unaokufurahisha au kukukasirisha.
Nisameheni wanajamvi ni maneno yasiyofaa ila ukweli nichukizwa sana na ujumbe wa huyu ( Zakayo keasi)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama mwanaccm kindakindaki nakubaliana na wewe kuwa zigo ni letu na si wapinzani. Hatikuwasikilza na tuliwabeza. Nasikitika tuliwapuza bingeni, tukawazomea mtaani na kuwabeza ktk kusaini mikataba. Nashauri chama na serikali tuwaombe radhi na tuwasihi watushauri.
 
kama mwanaccm kindakindaki nakubaliana na wewe kuwa zigo ni letu na si wapinzani. Hatikuwasikilza na tuliwabeza. Nasikitika tuliwapuza bingeni, tukawazomea mtaani na kuwabeza ktk kusaini mikataba. Nashauri chama na serikali tuwaombe radhi na tuwasihi watushauri.
Hapo kwenye kuwashauri kumentia shaka kama wewe kweli ni ccm kinda wa kindaki!! Mjishauri wennyewe namana ya kuacha siasa hizi, japo sasa mnafuata sisas za ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI bila kupenda kwa kuogopa kukosa mlo, kazi mnayo
 
Back
Top Bottom