johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,763
Nimewaona wanachama wa CUF wanavyoparurana kupitia Star tv kiukweli pale hamna chama ni sawa na kikundi cha wavuvi.
Abdul Kambaya anasema ruzuku ilikuwa haifiki majimboni ililiwa pale makao makuu ilhali yeye alikuwa hapohapo.
Kambaya na Nape wanafanana sana yawezekana wote ni wamakonde.
Afadhali Chadema nyakati za migogoro heshima inalindwa.
Maendeleo hayana vyama!
Abdul Kambaya anasema ruzuku ilikuwa haifiki majimboni ililiwa pale makao makuu ilhali yeye alikuwa hapohapo.
Kambaya na Nape wanafanana sana yawezekana wote ni wamakonde.
Afadhali Chadema nyakati za migogoro heshima inalindwa.
Maendeleo hayana vyama!