Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,495
- 51,089
Safu ya uongozi wa nchi imekaa mbele, kuna waziri mkuu, makamu wa raisi naibu Spika. Wote hawa hawajavaa barakoa na wala hawako umbali unaofikia mita mbili kutoka kwa kila moja. Hata hivyo raisi Mstaafu JK amepiga barakoa yake.
Je, tunapata meseji gani kama Watanzania?
Ni dhahiri kiongozi mstaafu anaonyesha mfano kuwa hizi nyakati siyo za kujiachiaachia.
Nawaonea huruma viongozi wengine ambao badala ya za kuambiwa na jiwe wachanganye na zao, wao wanajiexpose kwenye kwenye line ya hatari ya maambukizi.
Sisi kama Taifa tunapaswa kufuata mfano mwema kama wa JK
Hapa chini JK kapiga barakoa
Je, tunapata meseji gani kama Watanzania?
Ni dhahiri kiongozi mstaafu anaonyesha mfano kuwa hizi nyakati siyo za kujiachiaachia.
Nawaonea huruma viongozi wengine ambao badala ya za kuambiwa na jiwe wachanganye na zao, wao wanajiexpose kwenye kwenye line ya hatari ya maambukizi.
Sisi kama Taifa tunapaswa kufuata mfano mwema kama wa JK
Hapa chini JK kapiga barakoa