Martin Luther Jr
JF-Expert Member
- Apr 19, 2017
- 722
- 204
Aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha hahahaha eti mnatupa shida tunapokuja kuwaoa.....duhhhh!!!!!!!!!Inasikitisha na kushangaza,
unakutana na
Msichana wa miaka 28-30 anakwambia tangu
aanze Mapenzi akiwa na Miaka 19 hakuna
Mwanaume yoyote amewahi kumfikisha
kileleni...
Imagine, anafanya Mapenzi miaka karibu
10!
lakini anatumika yeye tu...
Amekuwa Sugu sasa na kilele pekee anachokijua ni cha Mlima
Kilimanjaro,
amekata tamaa kama kuna kitu kama
hicho duniani..
Ukikutana na mwanamke wa namna hii ili
umridhishe inapaswa kwanza uende Gym,
ule Siagi
na jibini, dozi ya karanga na supu ya pweza wiki 2 umkeshee kisawasawa..Lakini unapaswa pia
kumfanyia Counselling ili aamini tena kwamba
kilele sio Kibo na Mawenzi tu...inataka Moyo...
WANAUME: Msiwafanyie hivyo Wasichana, wapeni
dozi inayostahili,
ukipewa chezo kamua haswa,
sio
unakurupuka tu hueleweki unachofanya ni nini Robo saa unakoroma..Huo sio uanaume..Uanaume
kazi.. Mnatupa shida tunakuja kuoa Wanawake
wamekomaa, hata utumie Mwiko kilele hakionekani
hata kwa darubini...
Ukipewa Kazi itendee haki kazi...Kama hujui
kukuna nazi waachie wakwezi...
Girls wanapata shida sana,halafu we mtaani unajitamba kumbe
huna lolote..Its not Fair
Kumbe Bado haujajua kwamba mwanaume una asilimia kubwa za kuivuta concentration ya mwanamke na kumuweka atention...It's all about game of MIND....asipoandaliwa kimwili na kiakili ...huwezi kumfikisha kileleni hata utumie ndumba....so ni kitendo cha kumwandaa mentality and phyisical...otherwise ,no ORGASIM...
Duh!!mimi mademu zangu wote wanafika extra climax...." siri yangu ipo kwenye unyoya wa bata daily haukosi kwenye koti langu la suti....maana muda wowote nachinja kuku
Mwanaume anaouwezo wa kumfanya mwanamke asisimke na kuzama kwenye dimbwi la mahaba hata kama alikuwa hajadhamiria.Kufika kileleni kukoa ndani ya akili ya mwanamke mwenyewe. Asipojiandaa kiakili na kisaikolojia hatoweza kufika.
Vyote vinahusika mkuu, na pia vinategemeanaAna matatizo ya kisaiklojia binti au mwanamke wa jinsi hiyo apate ushauri kwanza
Hapo umenichanganyia madesa mkuu.............Hao wote ni labourers wanaingia kwenye factors of production..kumbuka wao sio bidhaa ila wanatoa huduma..........najaribu kuwaza tu,kati ya mwanamke na mwanaume kipi ni produces na kipi kitakuwa product....
Sasa kwann usimuandae ili nayy afike kama unavyofika ww??usiwe mchoyo bhana,yani ajiandae mwenyewe tena looh!!! Ww ukimuandaa inanoga zaidi.Kufika kileleni kukoa ndani ya akili ya mwanamke mwenyewe. Asipojiandaa kiakili na kisaikolojia hatoweza kufika.
Hiv vitu ni complicated mkuu ...sio kila demu uliyepiga ulimfikisha CLIMAX...kitu maandalizi,na men wengi wanafeli kwenye preparation,,,na kuzijua twelve parts za mwanamke za kumfikisha kirahisi CLIMAXKumbe Bado haujajua kwamba mwanaume una asilimia kubwa za kuivuta concentration ya mwanamke na kumuweka atention...
kwa hiyo malighafi na bidhaa ni zipi mkuu, maana hiki kiwanda kina mfumo wa kipekee kabisaaHapo umenichanganyia madesa mkuu.............Hao wote ni labourers wanaingia kwenye factors of production..kumbuka wao sio bidhaa ila wanatoa huduma..........
hehe aya mzee babaViwanda? Nipe mualiko kwenye jukwaa la siasa ili tuje kukata kiu, manake hapa naona uwanja mdogo