shujaa bangili
New Member
- Sep 4, 2019
- 4
- 3
Nahitaji msaada na ushauri wenu wa dhati WAKUU,kuna kitu huwa kinanisumbua Sana sielewi tatizo NI nini.kwenye Koo LANGU KUNA kitu nakisikia Kama kimekwama Sasa nashindwa kuelewa NI kitu gani maana nikiwa nakula sikisikii Wala nikinywa maji sikisikii Bali nikiwa nameza mate ndiyo huwa nakisikia ama ikitokea nimemeza kidonge Cha aina yoyote Ile basi Siku ya pili yake au BAADA ya masaa kadhaa Hali iyo huwa inaongezeka kuliko awali ninachokishangaa KUNA kipindi HIYO Hali huwa inatoweka KABISA ila BAADA ya wiki au Siku kadhaa Ina Rudi Tena NAOMBA msaada wenu wa kitabibu WAKUU.