Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
tumeleta shahidi mwingine na tumeomba kuingiza documents zingine,
ngoja tuone maana naona mawakili wa jamuhuri wamebaki wanatoa macho ila kilichofanyika ni ku-cure mischief zilizotumiwa na jaji kama sababu ya kupiga chini barua ya Ling'wenya.
ngoja tuone maana naona mawakili wa jamuhuri wamebaki wanatoa macho ila kilichofanyika ni ku-cure mischief zilizotumiwa na jaji kama sababu ya kupiga chini barua ya Ling'wenya.