Jaji kachemka sana kwa uamuzi wake wa leo. Katika mapingamizi yote aliyoyakataa la leo ndiyo limenifanya niamini kuwa huyu ni Jaji wa kimkakati tu. Huyu hatufai. Haki hata kama ni ya mtu mmoja dhidi ya dunia nzima hupawa kuangaliwa.
Kwanza kuwa suala la haki asilia "principles of natutal justice" - huyu Jaji alitakiwa atoe nafasi kilichopaswa kuingizwa na Ling'wenya kiingizwe. Kumekuwa na hofu kubwa kuwa kilichokataliwa kuingia pengine kilikuwa kimebeba haki ya Mshtakiwa. Hata mimi nimeanza kuamini hivyo hata kama sivyo.
Hapa Jaji alipaswa kutumia hekima na kuzingatia haki za asili kuhakikisha kila kitu kinasikilizwa hata kama ni uozo tu. Kwa kukataa kwake basi inaonesha kabisa amepanga kuubeba upande wa mashtaka kwa hasara ya upande wa utetezi.
Hata hivyo kikubwa watu tonaona na historia inajiandika. Tuvute subira ila maamuzi yeyote huko baadaya yatakuja kuonesha uzuri na ukatili wa watesi wetu.
Kwanza kuwa suala la haki asilia "principles of natutal justice" - huyu Jaji alitakiwa atoe nafasi kilichopaswa kuingizwa na Ling'wenya kiingizwe. Kumekuwa na hofu kubwa kuwa kilichokataliwa kuingia pengine kilikuwa kimebeba haki ya Mshtakiwa. Hata mimi nimeanza kuamini hivyo hata kama sivyo.
Hapa Jaji alipaswa kutumia hekima na kuzingatia haki za asili kuhakikisha kila kitu kinasikilizwa hata kama ni uozo tu. Kwa kukataa kwake basi inaonesha kabisa amepanga kuubeba upande wa mashtaka kwa hasara ya upande wa utetezi.
Hata hivyo kikubwa watu tonaona na historia inajiandika. Tuvute subira ila maamuzi yeyote huko baadaya yatakuja kuonesha uzuri na ukatili wa watesi wetu.