Kwenye ishu ya wadada wakazi kuna utumwa unaendelea chinichini

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,889
Kuna hii habari ambapo mzazi anampeleka mtoto kufanya kazi za ndani sehemu. Unakuta huyu mtoto ni chini ya miaka 18. Cha ajabu ni kuwa mzazi ndiye anayekuwa anachukua mshahara au wanapokezana na mtoto kuchukua. Mi naona kama huu ni utumwa haijakaa poa kabisa.
 
Kuna hii habari ambapo mzazi anampeleka mtoto kufanya kazi za ndani sehemu. Unakuta huyu mtoto ni chini ya miaka 18. Cha ajabu ni kuwa mzazi ndiye anayekuwa anachukua mshahara au wanapokezana na mtoto kuchukua. Mi naona kama huu ni utumwa haijakaa poa kabisa.
Kweli kabisa
 
Tena mama zao ni mabingwa kweli wa kutuma "please call me" tarehe husika. Hawa mabinti humu majumbani mwetu wanafanya kazi nyingi saana, baadhi ni wa kwanza kuamka na wa mwisho kulala, 7 days a week ukijumlisha na maneno ya kina mama wenye nyumba plus "kutafunwa" na vijana wetu humo majumbani sometimes hadi kina "faza house" wenyewe kuwageuza kachumbari zao, nadhani yatupasa tuwe walau na huruma. Kama mama yake anakomaa kuutaka mshahara wa bintiye basi angalau na sisi tuwatizame hawa mabinti kwa jicho la huruma kwa "kuwapooza" na walau nusu ya mshahara unaoenda kwa mama zao
 
Back
Top Bottom