kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,338
- 12,371
samahani kama nitakua nimekosea jukwaa jamani.
hivi panelists huwa wanaangalia nini hasa ili waweze kumpa mtu kazi?nauliza hivi kwa sababu nimehudhuria interview nyingi na unakuta tumepambana kuanzia mchujo wa kuandika na mpaka tunabaki labda watatu kwenye final stage ila kazi nakua sipati na nikiangalia anaekua amepata kazi anakua ni mtu wa kawaida tu yaani hana chochote cha ziada kunizidi.
Jamani sasa hawa watu huwa wanataka mtu ujibuje yale maswali yao au huwa wanataka nini zaidi?
hivi panelists huwa wanaangalia nini hasa ili waweze kumpa mtu kazi?nauliza hivi kwa sababu nimehudhuria interview nyingi na unakuta tumepambana kuanzia mchujo wa kuandika na mpaka tunabaki labda watatu kwenye final stage ila kazi nakua sipati na nikiangalia anaekua amepata kazi anakua ni mtu wa kawaida tu yaani hana chochote cha ziada kunizidi.
Jamani sasa hawa watu huwa wanataka mtu ujibuje yale maswali yao au huwa wanataka nini zaidi?