Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,166
- 6,092
Mkuu hata wakinga wana mafanikio tu,, lkn hawawekwi kwenye hayo makabila why,,, nenda marangu sema mimi mzaramo natafuta kiwanja alafu uje utupe mrejesho hapaMimi nadhani Kuna inferiority complex katika makabila mengine nchini kwa hayo makabila matatu.kwa Nini makabila yenye mafanikio makubwa ndo yenye hiyo sifa . So sio kweli kubwa ni wabaguzi bali jinsi jamii zinavyowachukulia