Kwenye hizi wiki akina 'Antony' wanapiga mwingi sana. Hawa sasa ndio wana CCM huru / Wana CCM asili

CCM Music

JF-Expert Member
Dec 5, 2018
1,036
1,782
Huku Diallo, kule Mtaka.

Hawa ndio wana CCM huru / wana CCM asili.

Na kama ikiwezekana, baada ya Mama Samia then it could be Antony Mtaka. Anaijua Tanzania, anawajua watanzania.

Hebu Pascal Mayalla naomba uje upandishe nyuzi zako zile, japo nyakati hizi umeonekana kuyumba mno. Usisahau pia kunipa 'credit'.

Kudos wana CCM wa ukweli, wazalendo wa kweli wa Taifa letu.

Baada ya Mama Samia, mtu anayefuata ni Antony Mtaka.

#CCMhuruMovement
 
Huku Diallo, kule Mtaka.

Hawa ndio wana CCM huru / wana CCM asili.

Na kama ikiwezekana, baada ya Mama Samia then it could be Antony Mtaka. Anaijua Tanzania, anawajua watanzania.

Hebu Pascal Mayalla naomba uje upandishe nyuzi zako zile, japo nyakati hizi umeonekana kuyumba mno. Usisahau pia kunipa 'credit'.

Kudos wana CCM wa ukweli, wazalendo wa kweli wa Taifa letu.

Baada ya Mama Samia, mtu anayefuata ni Antony Mtaka.

#CCMhuruMovement
Ila wenyewe ndani mwao wanafarakana Kati ya wenye mawazo huru na mawazo mgando.
 
Huku Diallo, kule Mtaka.

Hawa ndio wana CCM huru / wana CCM asili.

Na kama ikiwezekana, baada ya Mama Samia then it could be Antony Mtaka. Anaijua Tanzania, anawajua watanzania.

Hebu Pascal Mayalla naomba uje upandishe nyuzi zako zile, japo nyakati hizi umeonekana kuyumba mno. Usisahau pia kunipa 'credit'.

Kudos wana CCM wa ukweli, wazalendo wa kweli wa Taifa letu.

Baada ya Mama Samia, mtu anayefuata ni Antony Mtaka.

#CCMhuruMovement
CHADEMA TWENDE NA DIALO 2025
 
Huku Diallo, kule Mtaka.

Hawa ndio wana CCM huru / wana CCM asili.

Na kama ikiwezekana, baada ya Mama Samia then it could be Antony Mtaka. Anaijua Tanzania, anawajua watanzania.

Hebu Pascal Mayalla naomba uje upandishe nyuzi zako zile, japo nyakati hizi umeonekana kuyumba mno. Usisahau pia kunipa 'credit'.

Kudos wana CCM wa ukweli, wazalendo wa kweli wa Taifa letu.

Baada ya Mama Samia, mtu anayefuata ni Antony Mtaka.

#CCMhuruMovement
In Latin Baby Names the meaning of the name Antony is: Worthy of praise; of value. Saint Anthony is the patron sain of poor people.
 
Huku Diallo, kule Mtaka.

Hawa ndio wana CCM huru / wana CCM asili.

Na kama ikiwezekana, baada ya Mama Samia then it could be Antony Mtaka. Anaijua Tanzania, anawajua watanzania.

Hebu Pascal Mayalla naomba uje upandishe nyuzi zako zile, japo nyakati hizi umeonekana kuyumba mno. Usisahau pia kunipa 'credit'.

Kudos wana CCM wa ukweli, wazalendo wa kweli wa Taifa letu.

Baada ya Mama Samia, mtu anayefuata ni Antony Mtaka.

#CCMhuruMovement
Paschal katuita tukawe waandishi huru kama yeye
 
Back
Top Bottom