CCM Music
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 1,036
- 1,782
Huku Diallo, kule Mtaka.
Hawa ndio wana CCM huru / wana CCM asili.
Na kama ikiwezekana, baada ya Mama Samia then it could be Antony Mtaka. Anaijua Tanzania, anawajua watanzania.
Hebu Pascal Mayalla naomba uje upandishe nyuzi zako zile, japo nyakati hizi umeonekana kuyumba mno. Usisahau pia kunipa 'credit'.
Kudos wana CCM wa ukweli, wazalendo wa kweli wa Taifa letu.
Baada ya Mama Samia, mtu anayefuata ni Antony Mtaka.
#CCMhuruMovement
Hawa ndio wana CCM huru / wana CCM asili.
Na kama ikiwezekana, baada ya Mama Samia then it could be Antony Mtaka. Anaijua Tanzania, anawajua watanzania.
Hebu Pascal Mayalla naomba uje upandishe nyuzi zako zile, japo nyakati hizi umeonekana kuyumba mno. Usisahau pia kunipa 'credit'.
Kudos wana CCM wa ukweli, wazalendo wa kweli wa Taifa letu.
Baada ya Mama Samia, mtu anayefuata ni Antony Mtaka.
#CCMhuruMovement