NTINGINYA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2010
- 252
- 47
Hako kajumba ndo katakuchanganya kabisa bora utafute ufumbuzi mwingine mkuu vijumba huwa vinajua kwamba hapo umeegesha tu msala kwako ukisha unapotezea ndo kanakumaliza kabisa bora ule na huyohuyo japokuwa naee ana maviyke ipo siku yataisha utapumzika
Akili yenyewe ni kuwa na kajumba kadogo pembeni ukinuna nahama kwa muda