Kwenye hili nashauri busara itumike, hasa kwa wewe kijana uliyepewa dhamana ya kuwa kiongozi

Ushimen

JF-Expert Member
Oct 24, 2012
37,200
85,298
Naomba nianze kwa kusikitika kidogo.

Nafikiri inaumiza sana kuona kiongozi tena kijana, akitoa tamko kana kwamba anatamani amfirahishe mtu flani.

Na kwetu sisi wazaza/walezi tunaumizwa sana kila tunapo ona watoto wetu (hasa wakubwa hawa/A-level/Vyuo) wakibaki nyumbani kwasababu ya ufukara wetu.

Sawa sote tunatambuwa kwamba mkuu wa nchi amesha agiza wadada na wakaka wakubwaambao ni watoto wetu, warejee vyuoni na mashuleni pindi tu itakapo badilika kalenda na kudoma 1 June.

Bahati mbaya sana, kuna vijana waliopewa mamlaka na sasa wanasahau hekma/busara na kishakutoa matamko tatanishi kuhusiana na hii tarehe moko.

Bahati mbaya sana vijana hawa (wanaotoa matamko) hawaja fikia umri wa kutegemewa na watoto wenye level hii iliyo takiwa na mkuu wa nchi irudi shule na Vyuo.

Mbaya zaidi vijana hawa wanasahau kwamba kiongozi wa nchi amefanya maamuzi ya watoto hawa kurudi masomoni kwa kuzingatia kwamba sasa Ni watu wazima, nasasa ubaya wa kumtuma mtumzima Jambo ni yawezekana akafika kwa wakati ama lah. Na sababu kubwa ni mtoto huyu amefikia umri wa kuitwa mtu mzima.

Sasa basi nitowe Rai kwa wewe kiongozi (uliye pewa power katika eneo lako), ebu angalia namna nzuri ya kuliweka hili ili isiwe shida kwa mwanafunzi na mzazi pia.

Sisi wazazi tunapo watoa watoto nyumbani always tuna amnini kwamba wanarudi huko kwenye masomo, lakini pia kiongozi unapaswa ukumbuke kwamba kutoka nyumbani hadi chuo kuna mengi yanayo jiri hapo katikati hata kupelekea mtoto kuchelewa kifika chuo/a-level.

Na ukizingatia hili kwamba tayari vijana hawa tumewabatiza jina la watu wazima. Na umri huo akiondoka nyumbani ni jambo lingine, pia kufika kwake shuleni/chuoni ni kitu kingine.

Hapo sija zungumzia kuchelewa kwa mtoto kureport kwasababu ya wazazi kukosa pesa.
 
Vijana wa leo wote wapo kibavicha bavicha akili kama wanawazimu
Mkuu, hii kidogo ni sensitive issue ambayo inahusu maisha, ukuwaji, elimu na hatma ya watoto wetu.

Lakini ninaona ubaya pale kiongozi anapo leta siasa kwasabbau tu landa anatamani kumfutahisha aliye mteuwa, then anaongeza siasa kwenye maisha ya watoto wetu.

Then mwisho wa siku anatoa matamko kwamba mtoto ambae hato ripoti siku ya pili kutoka kwenye tamko la tarehe aliotoa kiongozi wa nchi, badi uwajibikaji utafuata mkondo kwa mtoto ama mzazi.
 
Mkuu, hii kidogo ni sensitive issue ambayo inahusu maisha, ukuwaji, elimu na hatma ya watoto wetu.

Lakini ninaona ubaya pale kiongozi anapo leta siasa kwasabbau tu landa anatamani kumfutahisha aliye mteuwa, then anaongeza siasa kwenye maisha ya watoto wetu.

Then mwisho wa siku anatoa matamko kwamba mtoto ambae hato ripoti siku ya pili kutoka kwenye tamko la tarehe aliotoa kiongozi wa nchi, badi uwajibikaji utafuata mkondo kwa mtoto ama mzazi.
Wengi hawajuwi ukweli ila baada ya uwongoz kupita pale kisutu yatajulikana mengi.
 
Nani huyo mkuu?



Naomba nianze kwa kusikitika kidogo.

Nafikiri inaumiza sana kuona kiongozi tena kijana, akitoa tamko kana kwamba anatamani amfirahishe mtu flani.

Na kwetu sisi wazaza/walezi tunaumizwa sana kila tunapo ona watoto wetu (hasa wakubwa hawa/A-level/Vyuo) wakibaki nyumbani kwasababu ya ufukara wetu.

Sawa sote tunatambuwa kwamba mkuu wa nchi amesha agiza wadada na wakaka wakubwaambao ni watoto wetu, warejee vyuoni na mashuleni pindi tu itakapo badilika kalenda na kudoma 1 June.

Bahati mbaya sana, kuna vijana waliopewa mamlaka na sasa wanasahau hekma/busara na kishakutoa matamko tatanishi kuhusiana na hii tarehe moko.

Bahati mbaya sana vijana hawa (wanaotoa matamko) hawaja fikia umri wa kutegemewa na watoto wenye level hii iliyo takiwa na mkuu wa nchi irudi shule na Vyuo.

Mbaya zaidi vijana hawa wanasahau kwamba kiongozi wa nchi amefanya maamuzi ya watoto hawa kurudi masomoni kwa kuzingatia kwamba sasa Ni watu wazima, nasasa ubaya wa kumtuma mtumzima Jambo ni yawezekana akafika kwa wakati ama lah. Na sababu kubwa ni mtoto huyu amefikia umri wa kuitwa mtu mzima.

Sasa basi nitowe Rai kwa wewe kiongozi (uliye pewa power katika eneo lako), ebu angalia namna nzuri ya kuliweka hili ili isiwe shida kwa mwanafunzi na mzazi pia.

Sisi wazazi tunapo watoa watoto nyumbani always tuna amnini kwamba wanarudi huko kwenye masomo, lakini pia kiongozi unapaswa ukumbuke kwamba kutoka nyumbani hadi chuo kuna mengi yanayo jiri hapo katikati hata kupelekea mtoto kuchelewa kifika chuo/a-level.

Na ukizingatia hili kwamba tayari vijana hawa tumewabatiza jina la watu wazima. Na umri huo akiondoka nyumbani ni jambo lingine, pia kufika kwake shuleni/chuoni ni kitu kingine.

Hapo sija zungumzia kuchelewa kwa mtoto kureport kwasababu ya wazazi kukosa pesa.
 
Back
Top Bottom