siti ya mbele
Senior Member
- May 3, 2017
- 183
- 145
Pole huelewi,Martin Luther alikuwa mkatoliki akaanzisha Lutheran,na shetani alikuwa malaika aliyeasi.hivyo usitegemee upinzani utoke sehemu nyingine zaidi ya ccm labda Kwa kizazi kijacho ambao wamekuta vyama vingi vipoAmewaita nyie wajinga usimpangie bwana.
Mngekuwa na akili mngekalili kuna upinzani wkt upinzani huo umeasisiwa na JK Nyerer ambaye ni CCM au CCM ilikuwa chadema,mtasema mnakili nyie?