mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Jmushi1, ndege za watalii zimeanza kutua, unarudi kibaruani. Kila la kheriInategemea kama watapata udhuru kutoka kwenye serikali zao. Pia kama mashirika ya kimataifa ya ndege pamoja na anga vimefunguliwa.