Kwenye hili la COVID19, naweza kuona mahesabu ya Rais Magufuli. Je, tumuunge mkono?

Shida ya Bavicha UJUAJI UCHWARA mwingi. Hilo desa la jamaa limejaa UPUMBAVU mwingi sana hadi kujibu unaona uvivu .

Senti bai yuzingi tecno T301
Ona sasa ulivyozoea mipasho!🤦🏾‍♂️
 
#108 & #137.
Takwimu sio dawa au kinga ya Covid-19 lakini zinatoa vigezo sahihi vya jinsi ya kupambana na haya maradhi.

Pengine serikali inazo takwimu na inazitumia kwenye maamuzi yake dhidi ya corona lakini serikali sio mdau peke yake katika kudhibiti hili gonjwa.

Hili ni janga ambalo linakatiza mipaka ya nchi na kukusanya wadau wengi pamoja wakiwemo wananchi wenyewe, taasisi za kimaifa, nchi jirani, nchi wafadhili, wawekezaji wa nje, na hata watalii toka mataifa mbalimbali.

Ni wazi kwamba kama serikali yetu ikificha takwimu za Covid-19, maamuzi yake hayataaminika wala kukubalika na wadau wengine na dalili za hilo zimeshaanza kuonekana.

Hivi kweli tuna sababu zenye tija za kupingana na zama hizi za uwazi na ukweli, na kurudi kwenye ujima na giza la usiri wa mambo yanayoihusu jamii yote ya Tanzania na ulimwengu wote kwa ujumla?
 
Kuna utaratibu wa kutoa taarifa kwenye vyombo vingine kama mataifa mengine yanavyofanya. Je kuficha ni jitihada za kuepuka hofu? Ama ni uoga kwamba hata hao wataokufa ikijulikana italeta matatizo kisiasa?

Jibu mbona liko wazi. Utaratibu wa kutoa taarifa au takwimu si dawa wala kinga ya COVID-19.

Hivyo basi, hakuna sababu ya kuficha. Isitoshe lililo la msingi ni usalama wa maisha na uhai wa kila mtu. Kwani ukijua nimekufa kwa COVID-19 ndio wewe hutaambukizwa au kufa kwa huo ugonjwa? Ukitaka kujua kwangu wamekufa wangapi njoo uniulize.

Kwa kuongezea, siyo mimi, hata wewe, mmoja wa familia yangu, au Mtanzania yryoyote atayekufa kwa COVID-19 iwapo atazingatia ushauri wa wataalamu wa afya na maelekezo ya Serikali.

JIKINGE UMKINGE JIRANI

JILINDE UWALINDE UWAPENDAO
 
I think the government has decided to throw us under the bus. They fail to contain it in the early stages so now the pandemic is all over the country!. It can’t be controlled any more.
So now it’s your choice to protect your family, the people you love and society in general.
It’s your call.
Usitegemee tena Serikali
 
I think the government has decided to throw us under the bus. They fail to contain it in the early stages so now the pandemic is all over the country!. It can’t be controlled any more.
So now it’s your choice to protect your family, the people you love and society in general.
It’s your call.
Usitegemee tena Serikali
Thank you for this thoughtful intake.
 
Jibu mbona liko wazi. Utaratibu wa kutoa taarifa au takwimu si dawa wala kinga ya COVID-19.

Hivyo basi, hakuna sababu ya kuficha. Isitoshe lililo la msingi ni usalama wa maisha na uhai wa kila mtu. Kwani ukijua nimekufa kwa COVID-19 ndio wewe hutaambukizwa au kufa kwa huo ugonjwa? Ukitaka kujua kwangu wamekufa wangapi njoo uniulize.

Kwa kuongezea, siyo mimi, hata wewe, mmoja wa familia yangu, au Mtanzania yryoyote atayekufa kwa COVID-19 iwapo atazingatia ushauri wa wataalamu wa afya na maelekezo ya Serikali.

JIKINGE UMKINGE JIRANI

JILINDE UWALINDE UWAPENDAO
Nani amesema kutoa takwimu ndo dawa ya corona? Futa kwanza hiyo kauli mkuu. Acha kupotosha.
 
Niweke nini sawa na wakati wewe ulitakiwa uulize maswali? Badala yake unabugia matango pori kisha unilaumu mimi?

Hata kama unasema “dunia inajizungusha kwenye muhimili wake”, unadhani hautaulizwa umejuaje?

Kimsingi kama jibu ni la kisayansi, basi kuna research imefanyika. You can’t just own it! You’ve got to give credit where it is due.

Tafadhali chunga kauli.

Sasa hutaki kwamba Coronavirus ni RNA

Na hutaki kuwa RNA wana mutate?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwanza tuweke baadhi ya mambo sawa

Herd immunity inapatikana pale population kwa kiwango fulani inapojenga immunity
1. Kupitia vaccination, kwamba, 80% kama sikosei ikiwa na immunity, 20% inalindwa
2. Pale ugonjwa unapokuwa na tabia ya kutengeneza ''immunity'' na hasa viral infections

Hakuna vaccination ya ugonjwa COVID-19
Hakuna ushahidi kwamba COVID-19 mtu akipata hatapata tena, ironically, kuna matukio ya kujirudia

Hapa inatueleza mambo kadhaa kuhusu viongozi. Kwamba, wanataka watu washangilie bila hoja ya kisayansi.

Kushangilia ni katika kufunika kile kinachoendelea na kuaminisha umma na dunia hakuna Corona Tz

Hilo linafanyika sambamba na kutotoa takwimu ili kujenga mazingira siku ikifika kwamba tumeshinda.

Mathalani, utasema vipi tuna korona ikiwa huna takwimu? na utasema vipi haipo ukiwa huna takwimu?

Jibu lolote lile ni sahihi kwasababu hakuna msingi wa kupinga au kukubali kwa maana ya takwimu.

suala la umri, hali ya hewa ya joto n.k. ni vitu tusivyoweza kufanyia tathmini kwasababu havisimami vyenyewe bila kuwa na nguzo nyingine.

Katika mambo yanayonishangaza ni pamoja na kuingiza masuala ya dini katika shughuli za serikali.
Kwamba watu wanataka imani zao ziwe imani za Taifa, nadhani hatutendi haki kwa wengine na wasioamini

Serikali haina dini, kazi hiyo iachwe kwa watu binafsi.
Mambo ya maombi si ya kitaifa, Tanzania ina watu wa imani tofauti na wasioamini .

JokaKuu Pascal Mayalla
Wewe achana na porojo. Kuna aliyekulazimisha uebde ukasali imani siyo yako?

Wewe kama unasalia sanamu lisalie, kama unasalia mozimu isalie . Na sisi tunasali misikitini tuache tusali jwa raha zetu.

Usitake wewe kulazimisha sisi tuyaache usiyoyataka wewe.

Unataka watu wakae kwenye uoga wa kupikwa mpaka lini?
 
Umejifunza nini? Ebu nielezee hicho ulichojifunza kutoka kwenye bandiko la huyo bibi.
Hahahaha.

Sema andiko "la huyu bibi" siyo "bandiko". Wewe ndiye uliyeng'ang'ania unataka "source" bandiko.

Umesahau mara hii? "Akili za samaki" - Aman Karume.
 
Acha uongo. Eti somo kubwa. Ameweka reference? Si tuna macho ya kusoma na uwezo wa kuelewa? Maana ya JF kama una uelewa wa kutosha utafahamu nini cha kufanya.
Reference ni mimi. You can wuote me if you like or simply prove me wrong.

Stop barking nonsensical.
 
Karibu sana kiongozi, wewe pia ni mmojawapo nilisahau kuwatag.

Lack of scientific information is is a huge disadvantage to us. Na hilo lemesababisha uwepo wa “lack of knowledge” when it comes to the viruses.

Ni kweli kabisa kuwa rais na watanzania, wamekuwa wakiongea kwa kurudia rudia mambo ambayo ni disinformation. Kwasababu nimeliona hata kwa Trump, ikanifanya niamini kwamba kuna jambo nyuma yake, na jambo hilo ni uchaguzi mkuu unaokuja mwishoni mwa mwaka huu.

Kuna taarifa ambayo nimeiweka humu, ambapo wanasema kuwa kama Trump angechukuwa hatua mapema badala ya kusubiri hadi March, wamarekani 36,000 wasingepoteza maisha yao.
Lockdown mainly ni kulinda maisha ya wananchi wako. Ndo maana mimi nilishangaa nakujiuliza inakuwaje? Mbona kama vile hawajali maisha yetu?
To your kind maybe YOU have lack of information on viruses.

With today's advancements on IT you lack information? You must be bonkers, no more no less.
 
Back
Top Bottom