Pole sana Pascal naona huna upeo hata wa kufikiri kumfananisha Khalifa Harun Bin Rashid na Magufuli umekosea sana tena sana Khalifa Harun bin Rashid ni kati ya warithi wa Mtume wetu Muhammad (S.A.W) kwahivyo mtu ukipewa Cheo cha Ukhalifa manake una Maamuzi, Busara, Hekima na Peo za Mtume kama Ibrahim, Musa, Issa au Muhammad so pale Magufuli hakuhukumu chochote na ukitazama katika matendo yake na matamko yake yuko mbali na sifa za Khalifa Harun bin Rashid