Kwenye Elimu ya msingi kuwe na somo linalotoa elimu juu ya vitu ambavyo ndiyo msingi wa kimaisha uliopo

Ze Rock

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
270
563
Habari wana JF

Hivi kuna ubaya kwenye masomo ya elimu ya msingi kukawa na somo linalotoa elimu juu ya vitu ambavyo kimsingi ndiyo msingi wa kimaisha uliopo hasa ukizingatia mabadiliko ya kiuchumi yaliyopo. Napenda kutoa mifano kama unaweza kuongeza nondo zaidi katika kuchangia siyo mbaya.

Mfano:
Kuwe na Elimu ya biashara yenye kumuelimisha mwanafunzi kujua nini maana ya biashara na vitu gani vya msingi anapaswa kuvijua hii itasidia kwa sehemu kubwa watu kuwa na uelewa juu ya vitu kama umuhimu wa kodi n.k

Tena kama darasa la sita au la saba wanaweza vizuri tu kuhandle hii

Kwa nini darasa la saba coz si wanafunzi wote wanaendelea na elimu za juu so hata kama atatafuta ujuzi ila anakuwa anaelewa umuhimu wa vitu vya kibiashara. Hii itaelimisha jamii kubwa sana kuliko hizi elimu za kufundishana ukubwani au pindi unapotaka kufanya biashara ndiyo unakutana nayo, uelewa unakuwa mgumu kidogo na hasa inakuwa kama shinikizo tu!

TALENTED STUDENT
Serikali ishirikiane vizuri kabisa na waweke utaratibu wa kuwekeza kwa wanafunzi wenye uwezo mkubwa kwenye masomo yao hii ikiwa na ubunifu wao ktk nyanja za elimu wanazo soma. Wapo watu wanauwezo mkubwa lakini wameishia kupata degree zao na wakaishia kufanya vitu tofauti kabisa na walivyosomea (Achana na wale wliopenda wenyewe) kumbe serikali ingeweza kuwatumia ktk ujenzi wa Taifa kadiri ya fani zao.

Naamini wataalamu wakizalishwa vizuri hata hawa viongozi wa juu wakiwekwa watu wenye ujuzi itachochea maendeleo. Mfano waziri wa mawasiliano anakuwa ni mtu ambaye amekuwa monitored kwamiaka mingi na uwezo wake hauna shaka akijumlisha exposure alizopata na kujua waliondelea wanafanya fanya vipi hadi wanafanikiwa.

Tuongezeee na mawazo yako!!
 
Zamani kulikuwa na elimu mpaka kwenye redio. RTD.

Si darasani tu.

Siku hizi wanaendeleza hivyo?

Maana muda wa darasani hautoshi ku cover mambo yote.

Mtu mwenye kiu ya elimu hata Youtube atajifunza.

Na asiye na utashi hata Ph.D course haitamsaidia.
 
Elimu haipatikani kwa kwenda shule tu mkuu
Labda hujanielewa pamoja na hizi elimu tunazopata kupitia tv na radio na mitandao ya kijamii namaanisha mitaala pia ya shule hasa msingi vikiwekwa vitu kama hivyo vitajenga uwelewa mpana sana. Hii ni kutokana na malalamiko mengi yanayojitokeza kuwa asilimia kubwa ya watu hana uwela/elimu juu ya vitu hivyo kumbuka tukianza ss utafika muda jamii kwa upana mkubwa utakuwa unaelewa vitu kwa upana zaidi hii ndiyo mantiki yangu
 
Elimu haipatikani kwa kwenda shule tu mkuu
Sikatai ila hizo sehemu zingine mfano Tv, radio na mitando ya kijamii au matamasha bado haichukui covarage kubwa ebu fikiria kwa upana, mfano mzr ni juu ya elimu ya magonjwa ilipoanza kufundishwa kwenye mashule hasa msingi nafikiri unaona jamii kwa upana wake ulivyo elimika na hata yale mambo ya unyanyapaa na kushikilia vitu ambavyo ni myth havipo tena( kuamini kuwa ni kulogwa n.k) so mantiki yangu ni kutengeneza kizazi cha baadae chenye uwelewa wavitu common...
 
Habari wana JF

Hivi kuna ubaya kwenye masomo ya elimu ya msingi kukawa na somo linalotoa elimu juu ya vitu ambavyo kimsingi ndiyo msingi wa kimaisha uliopo hasa ukizingatia mabadiliko ya kiuchumi yaliyopo. Napenda kutoa mifano kama unaweza kuongeza nondo zaidi katika kuchangia siyo mbaya.

Mfano:
Kuwe na Elimu ya biashara yenye kumuelimisha mwanafunzi kujua nini maana ya biashara na vitu gani vya msingi anapaswa kuvijua hii itasidia kwa sehemu kubwa watu kuwa na uelewa juu ya vitu kama umuhimu wa kodi n.k

Tena kama darasa la sita au la saba wanaweza vizuri tu kuhandle hii

Kwa nini darasa la saba coz si wanafunzi wote wanaendelea na elimu za juu so hata kama atatafuta ujuzi ila anakuwa anaelewa umuhimu wa vitu vya kibiashara. Hii itaelimisha jamii kubwa sana kuliko hizi elimu za kufundishana ukubwani au pindi unapotaka kufanya biashara ndiyo unakutana nayo, uelewa unakuwa mgumu kidogo na hasa inakuwa kama shinikizo tu!

TALENTED STUDENT
Serikali ishirikiane vizuri kabisa na waweke utaratibu wa kuwekeza kwa wanafunzi wenye uwezo mkubwa kwenye masomo yao hii ikiwa na ubunifu wao ktk nyanja za elimu wanazo soma. Wapo watu wanauwezo mkubwa lakini wameishia kupata degree zao na wakaishia kufanya vitu tofauti kabisa na walivyosomea (Achana na wale wliopenda wenyewe) kumbe serikali ingeweza kuwatumia ktk ujenzi wa Taifa kadiri ya fani zao.

Naamini wataalamu wakizalishwa vizuri hata hawa viongozi wa juu wakiwekwa watu wenye ujuzi itachochea maendeleo. Mfano waziri wa mawasiliano anakuwa ni mtu ambaye amekuwa monitored kwamiaka mingi na uwezo wake hauna shaka akijumlisha exposure alizopata na kujua waliondelea wanafanya fanya vipi hadi wanafanikiwa.

Tuongezeee na mawazo yako!!
Hahaaa wabongo bhana,

Kwani wahindi watoto wao elimu ya biashara wanaipata Darasani? Vipi Waarabu? Vipi Wasomali?

Kuna watu shuleni wao walienda tu kujifunza kusoma, kuandika na kuhesabu basi
 
Chukua hii
images (7).jpeg
 
Sikatai ila hizo sehemu zingine mfano Tv, radio na mitando ya kijamii au matamasha bado haichukui covarage kubwa ebu fikiria kwa upana, mfano mzr ni juu ya elimu ya magonjwa ilipoanza kufundishwa kwenye mashule hasa msingi nafikiri unaona jamii kwa upana wake ulivyo elimika na hata yale mambo ya unyanyapaa na kushikilia vitu ambavyo ni myth havipo tena( kuamini kuwa ni kulogwa n.k) so mantiki yangu ni kutengeneza kizazi cha baadae chenye uwelewa wavitu common...
Mm nimekuelewa
Ila mtaala wetu una Mambo yote ya kumfanya mtu ajitegeemee Kama ungefundishwa ipasagyo
Tatizo walimu wanafundisha qatoto kukariri ili wajibu mitihani shule zitangazww zimekuwa za Kwanza lakini mtoto hapati ujuzi uliokusudiwa

Hao watoto wenye A tupu hamna kitu wamekaririshwa zaidi
Elimu inatakiwa uitumie Katika azingira yako
Namna ya ufundishwaji NI mbovu
Vipaji vya watoto vinakufa ,wakiwa wadogo kwA sabbu wazaz wanataka mtoto apate A tu
Watoto wanaenda shule kujibu mtihani tu sio kujifunza
 
Zamani kulikuwa na elimu mpaka kwenye redio. RTD.

Si darasani tu.

Siku hizi wanaendeleza hivyo?

Maana muda wa darasani hautoshi ku cover mambo yote.

Mtu mwenye kiu ya elimu hata Youtube atajifunza.

Na asiye na utashi hata Ph.D course haitamsaidia.
Safi kabisa! Ila hii ni hizo ni zile elimu za kukumbushana kulingana na zama/nyakati lakini mimi nililenga zaidi kutengeneza kizazi kitakacho kuwa na uelewa mpana kama vile walivyoanza kuona umuhimu wakuweka combinations zenye kuleta tija zaidi kulingana na mabadiliko yaliyopo duniani. So ni kwa Vizazi vijavyo ni kama vile tunavyofundishwa kusoma na kuandika hatusomi kila kitu ila kupitia hivyo vyanzo vingine vya kujielimisha unapata nondo zaidi ili uwe bora zaidi....
 
Mm nimekuelewa
Ila mtaala wetu una Mambo yote ya kumfanya mtu ajitegeemee Kama ungefundishwa ipasagyo
Tatizo walimu wanafundisha qatoto kukariri ili wajibu mitihani shule zitangazww zimekuwa za Kwanza lakini mtoto hapati ujuzi uliokusudiwa

Hao watoto wenye A tupu hamna kitu wamekaririshwa zaidi
Elimu inatakiwa uitumie Katika azingira yako
Namna ya ufundishwaji NI mbovu
Vipaji vya watoto vinakufa ,wakiwa wadogo kwA sabbu wazaz wanataka mtoto apate A tu
Watoto wanaenda shule kujibu mtihani tu sio kujifunza
Yaani comments nzr kama hivi tunawashinda hata wabunge, nimekusoma! Elimu yetu haiko stable kabisa, mfano hesabu unawekaje iwe multiple choice!!!! serious?!
 
Safi inamaana wamekuwa wabunifu kwa style yao, safi kabisa... ila na sisi ndiyo maana nikasema mitaala iangalie vitu ambavyo vinatija zaidi na watoe vitu ambavyo vinatija! mfano kuna chuo kama D.I.T kulikuwa na masomo ambayo mtu ukisoma ukimaliza unajiuliza hivi advantage ya yale masomo ni nini? kulikuwa na somo linaitwa photography lilikuwa na tija enzi hizo ila mpaka 2013... bado lilikuwepo wakati watu wapo ke digital siyo mbaya kusoma basic ukajua wapi umetoka ila mabadiliko ya kimtaala inatija sana. Kwa sasa halipo tena! wamelitoa na kuweka module zenye tija kwa sasa! Any way nimekuelewa pia
 
Habari wana JF

Hivi kuna ubaya kwenye masomo ya elimu ya msingi kukawa na somo linalotoa elimu juu ya vitu ambavyo kimsingi ndiyo msingi wa kimaisha uliopo hasa ukizingatia mabadiliko ya kiuchumi yaliyopo. Napenda kutoa mifano kama unaweza kuongeza nondo zaidi katika kuchangia siyo mbaya.

Mfano:
Kuwe na Elimu ya biashara yenye kumuelimisha mwanafunzi kujua nini maana ya biashara na vitu gani vya msingi anapaswa kuvijua hii itasidia kwa sehemu kubwa watu kuwa na uelewa juu ya vitu kama umuhimu wa kodi n.k

Tena kama darasa la sita au la saba wanaweza vizuri tu kuhandle hii

Kwa nini darasa la saba coz si wanafunzi wote wanaendelea na elimu za juu so hata kama atatafuta ujuzi ila anakuwa anaelewa umuhimu wa vitu vya kibiashara. Hii itaelimisha jamii kubwa sana kuliko hizi elimu za kufundishana ukubwani au pindi unapotaka kufanya biashara ndiyo unakutana nayo, uelewa unakuwa mgumu kidogo na hasa inakuwa kama shinikizo tu!

TALENTED STUDENT
Serikali ishirikiane vizuri kabisa na waweke utaratibu wa kuwekeza kwa wanafunzi wenye uwezo mkubwa kwenye masomo yao hii ikiwa na ubunifu wao ktk nyanja za elimu wanazo soma. Wapo watu wanauwezo mkubwa lakini wameishia kupata degree zao na wakaishia kufanya vitu tofauti kabisa na walivyosomea (Achana na wale wliopenda wenyewe) kumbe serikali ingeweza kuwatumia ktk ujenzi wa Taifa kadiri ya fani zao.

Naamini wataalamu wakizalishwa vizuri hata hawa viongozi wa juu wakiwekwa watu wenye ujuzi itachochea maendeleo. Mfano waziri wa mawasiliano anakuwa ni mtu ambaye amekuwa monitored kwamiaka mingi na uwezo wake hauna shaka akijumlisha exposure alizopata na kujua waliondelea wanafanya fanya vipi hadi wanafanikiwa.

Tuongezeee na mawazo yako!!

Ni kweli kabisa Mkuu
Hata waziri mwenye dhamana ya elimu qrof Joyce Ndalichako ameanza kukituqia chaquo . Tukubali tuna tatizo ka kihistoria tunaqozungumzia kufanya biashara Tanzania mbali ya kutafuta mtaala bora wa biashara kuanzia shule za awali mqaka vyuo vikuu Chama tawa kinatakiwa kuwe cha kwanza kufanya ammebdenent kwenye utambuzi kwa kuwakubali wafanya biashara kama inavyowakubali wakulima na wafanyakazi na ndio chama kinachoaandaa ilanu ya kuongoza nchi , ushangai hoja ya kufukuza machinga stendi na kariakoo inatammkwa na vigogo wa chama walio iva siasa za nyundo na jembe, Marehemu Rutihinda alishauri tangu utawala awamu ya kwanza akiwatetea wafanya biashara kuenziwa badala ya kuwaona kama makabaila , wakweqa kodi au kazi isiyo na umuhimu . Kujiajiri kunaonekana kugumu Tz sababu graduates wiote wameandaluwa kuajiriwa sio kuanzisha biashara au uwekezaji ili ikiwezekana aweze kuajiri watu wengine na kuchangia vyema maendeleo ya nchi kwa uqande wa kodi kubwa arakayoliqa kwa bidhaa au huduma atakazitoa leo mbongo flavor Diomond analiqa kodi tsh 4om ambazo hakuna mwajiriwa anayeliqa kiwango hicho cha kodi. Mambo yamebadilika tuqo uchumi wa kati na huu ndio muda muafaka kutengeneza mtaala bora wa elimu utakaokuwa una mwendekezo kuanzia shuke za awali moaka chuo kikuu.
 
Safi kabisa! Ila hii ni hizo ni zile elimu za kukumbushana kulingana na zama/nyakati lakini mimi nililenga zaidi kutengeneza kizazi kitakacho kuwa na uelewa mpana kama vile walivyoanza kuona umuhimu wakuweka combinations zenye kuleta tija zaidi kulingana na mabadiliko yaliyopo duniani. So ni kwa Vizazi vijavyo ni kama vile tunavyofundishwa kusoma na kuandika hatusomi kila kitu ila kupitia hivyo vyanzo vingine vya kujielimisha unapata nondo zaidi ili uwe bora zaidi....
Muda wa darasani hautoshi kufundisha mambo ya ujasiliamali.

Kabla ya kujua ujasiliamali wa kwenda China kubeba mzigo inabidi ujue China iko wapi kwanza, hapo ndipo utafundishwa darasani, hayo mengine utajiongeza,

Kwanza kabisa walimu wenyewe wako wapi wa kufundisha hayo mambo? Walimu wenyewe wanahitaji somo.

Somo la biashara lipo sekondari, kuna Commerce, kuna Book Keeping. Hapo ndipo umuhimu wa kwenda sekondari utakapokuja.
 
Muda wa darasani hautoshi kufundisha mambo ya uasiliamali.

Kabla ya kujua ujasiliamali wa kwenda China kubeba mzigo inabidi ujue China iko wapi kwanza, hapo ndipo utafundishwa darasani, hayo mengine utajiongeza,

Kwanza kabisa walimu wenyewe wako wapi wa kufundisha hayo mambo? Walimu wenyewe wanahitaji somo.

Somo la biashara lipo sekondari, kuna Commerce, kuna Book Keeping. Hapo ndipo umuhimu wa kwenda sekondari utakapokuja.

Turudishe elimu ya kujitegemea kwa shule za msingi i.e kulima bustani / shamba , maqishi , kuchora , kuimba , maigizo , uvuvi , ufugaji , madini nk kwani sekta isiyo rasmi imebeba kada hizo kwa wingi wanachokosa ni mitala rasmi
 
Turudishe elimu ya kujitegemea kwa shule za msingi i.e kulima bustani / shamba , maqishi , kuchora , kuimba , maigizo , uvuvi , ufugaji , madini nk kwani sekta isiyo rasmi imebeba kada hizo kwa wingi wanachokosa ni mitala rasmi
Kwan elimu yenyewe inasemaje🤕🤕🤕
 
Kwenye somo la Social Studies (English medium schools) Maarifa ya jamii (shule za kiswahili) kuna topic ipo mwishoni Intaitwa PRODUCTION ACTIVITIES pia ina subtopic yake ya kuhusu ENTREPRENEURIAL SKILLS. Naamini ikitiliwa mkazo zaidi inaweza kusaidia kwasababu inaanza kufundishwa kuanzia darasa la tatu hadi la saba.
 
9
Tunaiongelea elimu kama vile inakaa mlimani, tunaweza kuipandia tukaiuliza ikatujibu!yaan elimu imenijibu kuwa kila mtu ajitaftie elimu ya mtaani yaan informal....hata mm swez kufundishwa SoMo la ujasiliamal8 na mwalimu 45++ af Hana hata boda yaan hajatusua
 
Kwan elimu yenyewe inasemaje

Mtoa mada anashauri elimu ya msingi iongezewe meno ya entrepreneurship skills tunachangia as msingi wa elimu yetu imegawanyika za English medium nyingi za private na mission na za serikali kiswahili zaidi , tunachoshauri msisitizi wa ufundishaji wa masomo ya ujasiriamali , walimu wao wawe wa kwanza kwenda kujifunza stadi nzuri za ufundishaji ujasiriamali
 
Back
Top Bottom