Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,430
- 2,436
Ndugu zangu kuna tatizo ninalo hapa natumia king'amuzi cha DSTV ila ghafla channel zote hazioneshi hata zile za ndani ya nchi yetu. Wenye uzoefu mnisaidie maana nilisikia eti channel za ndani sharti zioneshwe hata kama hujalipia kwa king'amuzi chochote kile.