Kwenye Bunge la chama kimoja, NEC ya CCM ina nguvu kuliko Bunge, na DED ni boss wa Mbunge

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,913
141,863
Mzee Mgaya ananikumbusha namna bunge la Spika Adam Sapi Mkwawa lilivyokuwa linaendeshwa kwamba lilikuwa chini ya Halmashauri Kuu ya CCM.

Maamuzi muhimu hufanyika katika ngazi za NEC na CCM na kwamba bunge hutimiza process ya kikatiba tu ndio maana Waziri fulani aliwahi kuwaambia wabunge " Gi to hell" na waziri mwingine akawajibu wabunge 'kila mtu atabeba msalaba wake'

Kwenye NEC wasingeweza kutoa kauli hizo kwa sababu mwenyekiti wa NEC ndio Rais wa nchi.

Anyway tulikuwa tunajadili tu kauli ya mzee Msekwa kwamba hakuna kazi rahisi duniani kama kuongoza Bunge la chama kimoja.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kwani lilopita nani alikuwa Spika na nani alikuwa naibu? Tumia akili unapoleta hoja. Chadema kama chama changu kutokuwa na wabunge wengi ndio bunge la chama kimoja?
Mbunge mmoja ana madhara gani?

Acha kukariri, bunge ni la chama kimoja yaani chama dume CCM!
 
Achana Na Hao Wazee Ambao Mpaka Sasa Hawajitambui
Muda Huu Unatueleza Mambo Zamani Tupa Kule!!
 
Maybe we should underpaid politicians and overpaid teachers, then they would be smarter people and less stupid laws...
emoji41.png
emoji41.png
 
Mzee Mgaya ananikumbusha namna bunge la Spika Adam Sapi Mkwawa lilivyokuwa linaendeshwa kwamba lilikuwa chini ya Halmashauri Kuu ya CCM.

Maamuzi muhimu hufanyika katika ngazi za NEC na CCM na kwamba bunge hutimiza process ya kikatiba tu ndio maana Waziri fulani aliwahi kuwaambia wabunge " Gi to hell" na waziri mwingine akawajibu wabunge 'kila mtu atabeba msalaba wake'

Kwenye NEC wasingeweza kutoa kauli hizo kwa sababu mwenyekiti wa NEC ndio Rais wa nchi.

Anyway tulikuwa tunajadili tu kauli ya mzee Msekwa kwamba hakuna kazi rahisi duniani kama kuongoza Bunge la chama kimoja.

Maendeleo hayana vyama!

Unasema Bunge Raisi hataka hata vyama viwepo hivyo sio Bunge tena ni Tanzania
 
Back
Top Bottom