JAMBONIA LTD
JF-Expert Member
- Jan 22, 2014
- 576
- 263
Habari waungwana msaada wenu dogo orodha ya wanafunzi waliochaguliwa hayupo ila akifungua akaunti yake anapewa congratulations kwa kuchaguliwa vipi hapo afanyeje
kote sipo ndugu...sipo katika orodha ya vyuo wala tcu ila ktk akaunti ya chuo kimoja nimeambiwa kuwa nimekua selected and confirmedRelax acha mapepe.... List nyingi zimetoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa chuo kimoja tu..
Km umechaguliwa chuo zaid ya kimoja unapatikana kwenye list ya tcu tu.
nenda chuo wewe acha bangi, list unataka ya ninik
kote sipo ndugu...sipo katika orodha ya vyuo wala tcu ila ktk akaunti ya chuo kimoja nimeambiwa kuwa nimekua selected and confirmed
Hapa unajiongelea wewe,mara dogok
kote sipo ndugu...sipo katika orodha ya vyuo wala tcu ila ktk akaunti ya chuo kimoja nimeambiwa kuwa nimekua selected and confirmed
kashajisahau kuwa alikuja kwa kumtumia dogo, kumbe dogo mwenyewe ni yeyeHapa unajiongelea wewe,mara dogo
kashajisahau kuwa alikuja kwa kumtumia dogo, kumbe dogo mwenyewe ni yeye
hapana ni chuo hicho tu kimoja vyengine kakosa na ameandikiwa confirmed
Sidhan km inaweza tokea iyo.. Km ni system ndio inafanya!k
kote sipo ndugu...sipo katika orodha ya vyuo wala tcu ila ktk akaunti ya chuo kimoja nimeambiwa kuwa nimekua selected and confirmed
Umechaguliwa chuo gani ?
Imewahi kunitokea wakati fulani nilichaguliwa kwenye akaunti yangu lakini kwenye orodha sikuwepo na sikuwahi kuwapo, lakini haikubadilisha ''uanafunzi wangu'' kwenye chuo hicho.
Hilo lako sio tatizo hata kidogo.