manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,723
Bila shaka wote mpo poa,jamani kuna vipele vimeniota chini ya kisogo kama vile vya mtu akishanyoa bila kupaka after shave ila mi ninaenda saloon na machine yangu na napaka after shave kila nimalizapo kunyoa ila bado hivi vipele vinazid kujitokeza tena sasa vinaongezeka ukubwa kila kukicha, kiukweli vananikera sana na sometime vinasababisha muwasho flani.Naomba kama kuna yeyote atakae kuwa na ushauri wowote anipe please.