Kwenu wataalamu wa Software naombeni ufafanuzi katika hili

GOD my watcher

JF-Expert Member
Oct 9, 2019
299
269
Nawasalimu kwa jina la yeye aliyetuumba,

Niende moja kwa moja kwenye mada. Katika kufatilia hizi android TV ama smart TV nimegundua nyingi zina in bulit decoder hivyo mtu akipata antenna au dishi baadhi ya channel zinafunguka, sasa nipo hapa kuuliza je, kuna uwezekano wa ku-unlock scrumbled channel mtu akaweza kuona channel zote.

Kama kuna mtu ambaye alishagawahi kufanya share us your experience pamoja na software za ku-unlockia

Natanguliza shkurani.
 
Huwezi, decoder zinazo unlock ni za magumashi, kampuni ya TV ikikupa feature hizo watapikwa fine moja matata sana na wamiliki wa hizo chanells.
Chief-Mkwawa nipo nje ya mada kidogo
Nina shida laptop yangu imeshake kidogo sasa nahitaji kushusha windows, ila windows niliyopewa ipo katika mfumo wa files setups yaan ile iso file imeshakuwa extracted zimebaki setup tupu kama zile zinazoonekana baada ku boot usb na windows kwa rufus.

Sasa swali langu nitatumia njia gani mpaka hizi setup files ziingie kwenye flash kwa ajili ya kuinstall windows. Hapo ndo nimekwama..
 
Chief-Mkwawa nipo nje ya mada kidogo
Nina shida laptop yangu imeshake kidogo sasa nahitaji kushusha windows, ila windows niliyopewa ipo katika mfumo wa files setups yaan ile iso file imeshakuwa extracted zimebaki setup tupu kama zile zinazoonekana baada ku boot usb na windows kwa rufus.

Sasa swali langu nitatumia njia gani mpaka hizi setup files ziingie kwenye flash kwa ajili ya kuinstall windows. Hapo ndo nimekwama..
mkuu hapo download window mpya
 
Chief-Mkwawa nipo nje ya mada kidogo
Nina shida laptop yangu imeshake kidogo sasa nahitaji kushusha windows, ila windows niliyopewa ipo katika mfumo wa files setups yaan ile iso file imeshakuwa extracted zimebaki setup tupu kama zile zinazoonekana baada ku boot usb na windows kwa rufus.

Sasa swali langu nitatumia njia gani mpaka hizi setup files ziingie kwenye flash kwa ajili ya kuinstall windows. Hapo ndo nimekwama..
Unaweza tumia power iso kutengeneza iso file ama program kama hio zipo nyingi, daemon ya bure.

Sema kama Una uwezo download mwenyewe windows toka website ya Microsoft, uki download mwenyewe utapata latest version ambayo itakusaidia kuepuka ku update kila saaa.

Pia windows si lazima iwe kwenye flash waweza ukaweka windows hata ikiwa kwenye setup file,
 
Unaweza tumia power iso kutengeneza iso file ama program kama hio zipo nyingi, daemon ya bure.

Sema kama Una uwezo download mwenyewe windows toka website ya Microsoft, uki download mwenyewe utapata latest version ambayo itakusaidia kuepuka ku update kila saaa.

Pia windows si lazima iwe kwenye flash waweza ukaweka windows hata ikiwa kwenye setup file,
Poweiso kwa ile free version yao ambayo ukiwa sio registered user wana limit kutengeneza iso mwisho ni 300Mb sasa kama unavyojua hakuna windows chini ya hapo..

Naomba unielekeze kama ipo ambayo ni free naweza kutengeneza iso au kama naweza pata link ya crack yoyote nzuri ya hizo software..

Pia naomba unielekeze hiyo njia ya kutumia hizo setup files bila usb itasaidia sana..

Maana windows hata nikisema nitafute microsoft bado itasumbua huku nilipo hakuna network ya kudanload hata kitu cha mb 500 sasa gb 3+ ntaziweza kwel
 
Poweiso kwa ile free version yao ambayo ukiwa sio registered user wana limit kutengeneza iso mwisho ni 300Mb sasa kama unavyojua hakuna windows chini ya hapo..

Naomba unielekeze kama ipo ambayo ni free naweza kutengeneza iso au kama naweza pata link ya crack yoyote nzuri ya hizo software..

Pia naomba unielekeze hiyo njia ya kutumia hizo setup files bila usb itasaidia sana..

Maana windows hata nikisema nitafute microsoft bado itasumbua huku nilipo hakuna network ya kudanload hata kitu cha mb 500 sasa gb 3+ ntaziweza kwel
Anza na hio setup file mkuu, pc ikiwa on fungu kama programs nyengine itakubali kuweka windows.

Sema njia hii haifanyi clean install utaweka windows juu ya windows na mafile yako yatabaki vile vile.
 
Chief-Mkwawa nipo nje ya mada kidogo
Nina shida laptop yangu imeshake kidogo sasa nahitaji kushusha windows, ila windows niliyopewa ipo katika mfumo wa files setups yaan ile iso file imeshakuwa extracted zimebaki setup tupu kama zile zinazoonekana baada ku boot usb na windows kwa rufus.

Sasa swali langu nitatumia njia gani mpaka hizi setup files ziingie kwenye flash kwa ajili ya kuinstall windows. Hapo ndo nimekwama..
Unapaswa kujua HDD yako ipo kwenye mfumo upi GPT au MBR ukishafahamu hicho unapaswa kufungua command prompt na kutengeneza flash yako iwe bootable. Ukishamaliza unacopy tu hizo files ndani ya flash yako inakubali ku boot.. commands zipo google.. kama ukishindwa ya power iso maana keys zake zipo pia google..
 
Unapaswa kujua HDD yako ipo kwenye mfumo upi GPT au MBR ukishafahamu hicho unapaswa kufungua command prompt na kutengeneza flash yako iwe bootable. Ukishamaliza unacopy tu hizo files ndani ya flash yako inakubali ku boot.. commands zipo google.. kama ukishindwa ya power iso maana keys zake zipo pia google..
asante kiongozi nimekuelewa mkuu. Asante sana
 
Chief-Mkwawa nipo nje ya mada kidogo
Nina shida laptop yangu imeshake kidogo sasa nahitaji kushusha windows, ila windows niliyopewa ipo katika mfumo wa files setups yaan ile iso file imeshakuwa extracted zimebaki setup tupu kama zile zinazoonekana baada ku boot usb na windows kwa rufus.

Sasa swali langu nitatumia njia gani mpaka hizi setup files ziingie kwenye flash kwa ajili ya kuinstall windows. Hapo ndo nimekwama..
Tumia hiyo Iso software kutengeneza bootable flash disk
 
Unaweza tumia power iso kutengeneza iso file ama program kama hio zipo nyingi, daemon ya bure.

Sema kama Una uwezo download mwenyewe windows toka website ya Microsoft, uki download mwenyewe utapata latest version ambayo itakusaidia kuepuka ku update kila saaa.

Pia windows si lazima iwe kwenye flash waweza ukaweka windows hata ikiwa kwenye setup file,
Unaweza share link tafadhali?
Sometimes napata mzigo wa GB then nakosa jinsi ya kuutumia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom