S StudentTeacher JF-Expert Member Jan 30, 2019 3,679 3,718 Oct 15, 2021 #1 Naomba kuuliza je,ni faida zipi anazonufaika nazo wakili endapo akiwa anashinda kesi anazowakilisha ukiacha malipo anayolipwa na wateja wake?
Naomba kuuliza je,ni faida zipi anazonufaika nazo wakili endapo akiwa anashinda kesi anazowakilisha ukiacha malipo anayolipwa na wateja wake?
Mwifwa JF-Expert Member Apr 3, 2017 46,916 122,167 Oct 15, 2021 #2 Kutengeneza uaminifu, koneksheni na kupata wateja wengi. Kifuatacho ITV ni.......