Philip Dominick
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 1,021
- 189
KUNA WATU HUMU WANAJİSİFU
WASOMİ SANA.
mimi na swali moja kwao,kwa usomi
walio nao wanalisaidia vp Taifa dhdi
ya haya yanayo endelea nchini.
1Ufisadi
2.matumizi ya mabavu ya serekali
dhidi ya Raia
3.mikataba mibovu na isio na tija
kwa vizaz vya sasa vijavyo
4.Udini na uchochezi
5.upande wa pili wa tz,smz kudai
mamlaka kamili pamoja na kujitenga
6.matumizi mabaya ya taasisi za
serekali
7.Elimu mbovu isiyo na tija
inayotolewa sasa
8.Ujangili unao endlea na hatar ya
kutoweka kwa tembo na faru
9.Deni la Taifa kuongezeka
maradufu
10.mishahara duni kwa wafanyakaz
wa serekali na taasisi binafsi na
mikataba isiyo kuwa na tija kwa
wafanya kazi
11.usomi ulio nao unalisaidia vipi
taifa katka kudhbiti na ufanisi wa
ukusanyaji wa mapato/kodi
KAMA WEWE UNAJİİTA MSÖMİ NA
HUNA MCHANGO WOWOTE KWA
CHANGAMOTO ZİNAZO KABİLİ TAİFA
HİLİ,USOMİ WAKO Nİ SAWA NA
TÓNE LA DAMU NDANİ YA BAHARİ
#nawasilisha
WASOMİ SANA.
mimi na swali moja kwao,kwa usomi
walio nao wanalisaidia vp Taifa dhdi
ya haya yanayo endelea nchini.
1Ufisadi
2.matumizi ya mabavu ya serekali
dhidi ya Raia
3.mikataba mibovu na isio na tija
kwa vizaz vya sasa vijavyo
4.Udini na uchochezi
5.upande wa pili wa tz,smz kudai
mamlaka kamili pamoja na kujitenga
6.matumizi mabaya ya taasisi za
serekali
7.Elimu mbovu isiyo na tija
inayotolewa sasa
8.Ujangili unao endlea na hatar ya
kutoweka kwa tembo na faru
9.Deni la Taifa kuongezeka
maradufu
10.mishahara duni kwa wafanyakaz
wa serekali na taasisi binafsi na
mikataba isiyo kuwa na tija kwa
wafanya kazi
11.usomi ulio nao unalisaidia vipi
taifa katka kudhbiti na ufanisi wa
ukusanyaji wa mapato/kodi
KAMA WEWE UNAJİİTA MSÖMİ NA
HUNA MCHANGO WOWOTE KWA
CHANGAMOTO ZİNAZO KABİLİ TAİFA
HİLİ,USOMİ WAKO Nİ SAWA NA
TÓNE LA DAMU NDANİ YA BAHARİ
#nawasilisha