Kwenu waoaji 2021

Aug 18, 2019
80
177
- Mwanamke alokuzidi kipato USIOE huyu matumizi yake ni makubwa kutokana na kipato chake usipomtimizia matumizi yake kwa kumpa hela kiasi kidogo atakudharau tu

- Mwanamke alokuzidi elimu USIOE hasa hawa wa degree,masters,PhD hawa ni wanaharakati wa majukwaani hawa ndio wanaohubiri wao ni sawa na wanaume 50/50 hawa hudhani kwakua wamesoma km wanaume wanadhani wao ni sawa na wanaume hawapendi kusimama kwenye nafasi zao

- Mwanamke alokuzidi umri kuanzia miaka 10 USIOE huyu atakuchukulia ww km mtoto tu hutawezana nae oa umri wako au chini yako

  • Mwanamke ambaye anavaa vinguo vifupi na vya kubana halafu akawa na ujasiri wa kutoka barabarani USIOE hao ni watu wa biashara zaidi
  • Mwanamke unayemtumia vocha halafu akakubipu USIOE huyu yupo kimaslahi zaidi

- Mwanamke mrembo sana kila mtu anamwongelea USIOE hawa huwa na kiburi kutokana na uzuri wao na matajiri watakuchapia maana kila ndoto ya tajiri kuwa na mchepuko mzuri.

Ongeza nyingine kama zipo
 
Kiukweli nimemfukuza mke wangu Kama miezi miwili iliyopita kutokana na tabia ya kuchepuka.
Nesi siyo mwanamke wa kuoa.
Nimereview miaka yote 10 ya ndoa nimegundua Hawa watu husahau haraka Sana kuliko hata simu inapodelete picha au meseji!
Tena anatangazia umma kuwa Mimi na yeye hatuendani sababu tu kapata hawala mwanajeshi ananizidi kipato!
Hakuangalia familia ya watoto wawili tuliowapata kwa kusafiri zaid ya KM 900 kwenda muhimbili kulazwa zaid ya Mara 4.
Ameachisha mtoto wa miezi 8 kunnyonya maziwa ya mama na kumpeleka kwa bibi yake na kumnywesha maziwa ya makopo ili tu asimbuguzi anapoliwa na huyo mwanajeshi.
Nimepoteza zaid ya 7.5kg kwa hili tukio.
Nasema ni heri ya mbwa ana shukurani kwa bwana wake anayempa chakula akimuona anatikisa mkia kuliko Hawa MANESI!
Kama umeoa nesi Kila la heri.
Sijaona wanawake wapumbavu Kama kada hii!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Kiukweli nimemfukuza mke wangu Kama miezi miwili iliyopita kutokana na tabia ya kuchepuka.
Nesi siyo mwanamke wa kuoa.
Nimereview miaka yote 10 ya ndoa nimegundua Hawa watu husahau haraka Sana kuliko hata simu inapodelete picha au meseji!
Tena anatangazia umma kuwa Mimi na yeye hatuendani sababu tu kapata hawala mwanajeshi ananizidi kipato!
Hakuangalia familia ya watoto wawili tuliowapata kwa kusafiri zaid ya KM 900 kwenda muhimbili kulazwa zaid ya Mara 4.
Ameachisha mtoto wa miezi 8 kunnyonya maziwa ya mama na kumpeleka kwa bibi yake na kumnywesha maziwa ya makopo ili tu asimbuguzi anapoliwa na huyo mwanajeshi.
Nimepoteza zaid ya 7.5kg kwa hili tukio.
Nasema ni heri ya mbwa ana shukurani kwa bwana wake anayempa chakula akimuona anatikisa mkia kuliko Hawa MANESI!
Kama umeoa nesi Kila la heri.
Sijaona wanawake wapumbavu Kama kada hii!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Dah pole sana bro
 
Kiukweli nimemfukuza mke wangu Kama miezi miwili iliyopita kutokana na tabia ya kuchepuka.
Nesi siyo mwanamke wa kuoa.
Nimereview miaka yote 10 ya ndoa nimegundua Hawa watu husahau haraka Sana kuliko hata simu inapodelete picha au meseji!
Tena anatangazia umma kuwa Mimi na yeye hatuendani sababu tu kapata hawala mwanajeshi ananizidi kipato!
Hakuangalia familia ya watoto wawili tuliowapata kwa kusafiri zaid ya KM 900 kwenda muhimbili kulazwa zaid ya Mara 4.
Ameachisha mtoto wa miezi 8 kunnyonya maziwa ya mama na kumpeleka kwa bibi yake na kumnywesha maziwa ya makopo ili tu asimbuguzi anapoliwa na huyo mwanajeshi.
Nimepoteza zaid ya 7.5kg kwa hili tukio.
Nasema ni heri ya mbwa ana shukurani kwa bwana wake anayempa chakula akimuona anatikisa mkia kuliko Hawa MANESI!
Kama umeoa nesi Kila la heri.
Sijaona wanawake wapumbavu Kama kada hii!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Duuuuuude!!! Tatizo sio kuoa NESI.....ni kuoa mwanamke uliyemuoa.

Man up!!!Maaana inaonekana kabisa anakuchukulia poa sana. Yani umejiweka kinyonge mpaka mwenyewe unaniboa. MAN UP!!!
 
Duuuuuude!!! Tatizo sio kuoa NESI.....ni kuoa mwanamke uliyemuoa.

Man up!!!Maaana inaonekana kabisa anakuchukulia poa sana. Yani umejiweka kinyonge mpaka mwenyewe unaniboa. MAN UP!!!
Unajua unapoamua kufunga ndoa na mwanamke maana yake Kuna uwezekano ukaishi nae muda mrefu kushinda hata wazazi wako waliokuzaa.
Nilimuamini.
Sikutaka kubugudhi ingawa alikuwa na changamoto za uzazi nilimvumilia nikijua mengine nimuachie mungu tu.
Imagine unaenda kazin kwake unakuta katambulisha hawala Kama mume wake.
Hapohapo anarudi nyumbani kulala kitanda kimoja na wewe.
Msishangae ukiona mtu kapiga mke wake shoka la kichwa

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Kiukweli nimemfukuza mke wangu Kama miezi miwili iliyopita kutokana na tabia ya kuchepuka.
Nesi siyo mwanamke wa kuoa.
Nimereview miaka yote 10 ya ndoa nimegundua Hawa watu husahau haraka Sana kuliko hata simu inapodelete picha au meseji!
Tena anatangazia umma kuwa Mimi na yeye hatuendani sababu tu kapata hawala mwanajeshi ananizidi kipato!
Hakuangalia familia ya watoto wawili tuliowapata kwa kusafiri zaid ya KM 900 kwenda muhimbili kulazwa zaid ya Mara 4.
Ameachisha mtoto wa miezi 8 kunnyonya maziwa ya mama na kumpeleka kwa bibi yake na kumnywesha maziwa ya makopo ili tu asimbuguzi anapoliwa na huyo mwanajeshi.
Nimepoteza zaid ya 7.5kg kwa hili tukio.
Nasema ni heri ya mbwa ana shukurani kwa bwana wake anayempa chakula akimuona anatikisa mkia kuliko Hawa MANESI!
Kama umeoa nesi Kila la heri.
Sijaona wanawake wapumbavu Kama kada hii!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Naomba namba yake ya simu nianze kumpa ushauri.
 
Duuuuuude!!! Tatizo sio kuoa NESI.....ni kuoa mwanamke uliyemuoa.

Man up!!!Maaana inaonekana kabisa anakuchukulia poa sana. Yani umejiweka kinyonge mpaka mwenyewe unaniboa. MAN UP!!!
I agree. Tatizo sio nurse. Tatizo ni mwanamke aliyempata.

Mimi nadhani mwamba sio mnyonge. Anapitia phase ya grief tu. He'll come to terms na ata move on.
 
Asante!
Nimeumia kiukweli!
Sio kwamba ni mnyonge Ila hili tukio naona litaniacha na mtazamo tofauti Sana na Hawa wanawake.
Samtimz naona nisioe Tena kwa usalama wangu maana unaweza kuishia gerezani tu!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
You'll be fine. Grief iishe na utamove on. Man, hakuna jipya duniani. Amini wewe sio wa kwa za na wala sio wa mwisho kukupata haya.

Jinsi gani unakabiliana na hili suala ndio itaamua mustakabali wako baadae na familia yako, hasa watoto wako. Muhimu tumia busara wakati huu.

Mungu akupe hekima ya kukabiliana na yote kwa sasa.
 
Back
Top Bottom