Priscallia
JF-Expert Member
- Nov 9, 2019
- 495
- 2,427
- Thread starter
- #61
Yes’ and if it happens nimekupa you will end up kunikamia kama hivyo vivulana eehNimekufurahisha eh Priscallia?
Yes’ and if it happens nimekupa you will end up kunikamia kama hivyo vivulana eehNimekufurahisha eh Priscallia?
Yes’ and if it happens nimekupa you will end up kunikamia kama hivyo vivulana eeh
Embu nilale huko 🥰😂😂😂😂😂😂 siyo nakukamia lol! Huwezi kushindana na K, nia ni kukufurahisha ili siku nyingine ukiwa kwenye mood umtafute BAK. 😜 Eti vivulana vinaanzia umri gani na kuishia umri gani?
Yaani mpaka umenishtua,you must be wooow!Thubutu sio kila mwanamke aliyoko kwenye ndoa basi maziwa yamelala
Thubutu sio kila mwanamke aliyoko kwenye ndoa basi maziwa yamelala
Usije kumaindi sikù ukisikia mkeo naye anatembea ni kiserengeti boy.. maana haya mambo yanakwenda sambambaNisome vizuri! Mimi nina familia yangu, nina watoto! Siwezi date na mtoto wa Chuo! Huyo ni one night stand basi!
Kwa hiki kipato changu,siwezi afford kua na mwanamke mwingine wa pembeni ambaye anahitaji mahitaji ya kila toka kwangu,siwezi! Ninaweza fanya,nikua na mwanamke ambaye yuko well off financially,huyo ndo mzuri! Ambaye hana vizinga vya kila siku na mauzi ya hapa na pale! Na ili uweze kupata mwanamke wa hivyo,ni lazima awe mkubwa kwako,hawa age mates zetu ni wasumbufu tu,umelala usiku na Mke wako,kinatuma sms, mpenzi I miss you! Nani anapenda ujinga huo??
Ungesema wale vijana ambao hawana familia,hawana watoto,maisha yao yanaendeshwa na hao wanawake,hapo nitaku support,lakini kama Mimi hapa ambaye nina familia yangu na watoto wangu,mtu wakudate naye ni yule aliyenizidi umri! Kwanza atakua ananipa na ushauri, tofauti na hawa age mates zetu,wao ni vizinga tu na kula bata,kila weekend wanataka kutoka out,kama huna pesa siku hiyo, mwenye pochi nene anakuzidi kete!
Ujinga kwako wewe wenzio wanafaidi mapenzikumbe ni vijana wengi mmeingia kwenye huu ujinga
Toka miaka ya 2007 nlikua nadeti na dada mmoja mzenji ana bwana ake yupo UK kikazi na hadi leo nipo nae Ila nimechelewa tu kuoa kila kitu cha kitandani alinipa + paundi za jamaa na vizawadi kibao toka UK nimemkuta na watoto watatu wadogo mpaka sasa wameoa na wameolewa na wananiita anko. Alishanifumania zaidi ya mara 3 akafanya fujo na hakuniacha mpaka leo anasema najua kumfikisha...Dada amenizidi miaka 8 nampelekea moto mpaka ndugu zake wanajua kafa kwangu alienda kuwahadithia rafiki zake wakaja nikawapelea moto kama wa 4 kila mmoja alikuja kivyake
Sawa sawa Mambo yao waachie wenyeweNgoja waje kukupa muongozo na mambo Yao waachie wenyewe...
Naanzaje kwa mfano kumvulia hata sidilia yangu aone nyonyo zangu, thubutu.
Mie nani niwaingilie kwenye maisha yao? Kumvulia chupi na kumuonyesha nyonyo mtu mzima aliyemzidi umri wa miaka miwili hata 15 kuna tofauti ipi na kumvulia chupi na kumuonyesha nyonyo babu aliyemzidi miaka 20!?
Nisome vizuri! Mimi nina familia yangu, nina watoto! Siwezi date na mtoto wa Chuo! Huyo ni one night stand basi!
Kwa hiki kipato changu,siwezi afford kua na mwanamke mwingine wa pembeni ambaye anahitaji mahitaji ya kila toka kwangu,siwezi! Ninaweza fanya,nikua na mwanamke ambaye yuko well off financially,huyo ndo mzuri! Ambaye hana vizinga vya kila siku na mauzi ya hapa na pale! Na ili uweze kupata mwanamke wa hivyo,ni lazima awe mkubwa kwako,hawa age mates zetu ni wasumbufu tu,umelala usiku na Mke wako,kinatuma sms, mpenzi I miss you! Nani anapenda ujinga huo??
Ungesema wale vijana ambao hawana familia,hawana watoto,maisha yao yanaendeshwa na hao wanawake,hapo nitaku support,lakini kama Mimi hapa ambaye nina familia yangu na watoto wangu,mtu wakudate naye ni yule aliyenizidi umri! Kwanza atakua ananipa na ushauri, tofauti na hawa age mates zetu,wao ni vizinga tu na kula bata,kila weekend wanataka kutoka out,kama huna pesa siku hiyo, mwenye pochi nene anakuzidi kete!
Huyu nitamuandalia na vyashule kabisa ili tusije tukalaumiana...😜😅😂😂😂😂 andaa cheti cha kuzaliwa kabisa ili ahakikishe umemzidi umri 🤣🤣🤣🤣
Big upNaanzaje kwa mfano kumvulia hata sidilia yangu aone nyonyo zangu, thubutu.