LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 2,958
- 5,561
Kapime mkuu.Umeongea kweli kabisa..ilishawai nitokea mke wa mwanajeshi kabs akanipenda mwenyewe kisa nilikuwa nanunua bidhaa dukani kwake..nikitoka job nimepndeza anasema we kijana mzuri sana ..Mara pa akaja kwangu anaomba maji ya kunywa...nilivyompa maji kuaga atoke hamna...nikajiongeza nikapiga ndo ukawa mchezo wetu..mpka naama mji bado ananitafta tu..ananizidi kama miaka 8 sjui kwann wanawapenda vijana.